Ajali zinaondoshwa kwa kusali kwa kukaa barabarani? Waafrika bhana!

Kuna ajali zinasababishwa na chombo chenyewe, kuna ajali zinasababishwa na uzembe wa dereva na pia zipo ajali ambazo chanzo chake ni maroho machafu, yanataka damu.

Hao watu walifanya ibada kukabiliana na ajali zinazisababishwa na maroho machafu, wachawi, majini etc

 
Mbona MV Bukoba ilipozama tarehe 21 May, 1996 Wapuuzi nyie hamkwenda juu ya Maji ya Ziwa Victoria katika kina Kirefu ( pale ilipozamia ) kisha Muombe ( Msali ) huku mkiwa mnaelea elea juu ya Maji na Samaki Sato na Sangara wakiwa Wanazidokoa dokoa Kende zenu Kuzuia Ajali zingine za Meli zisitokee pale Ziwani na Kwingineko Baharini na katika Mito mikubwa?

Hamna Akili.
 
 

Attachments

  • IMG_4950.MP4
    666.7 KB
Vipi zile ibada za mteremko wa Mbalizi zilizaa matunda?
Ngoja tuwasubiri Waafrika Mazuzu waje watujibu, ila Sisi Waafrika wachache akina MINOCYCLINE tunaojitambua na kuwaza Kisayansi na Kizungu zaidi hatuna Upuuzi huo na Imani hiyo.
 

Sawa, kwa hiyo wewe ndiyo una akili na majibu ya matatizo ya Dunia hii ambapo binadamu wengine wote hawana? Hongera sana!
 
haa haaaa haaa, unaonekana we jamaa huujui ulimwengu wa roho unavyofanya kazi. Uko mbali sana na Mungu mkuu! Yaani wewe huwa unalala na kuamka tu kama mnyama wa kawaida. Jaribu kuwaza na kujiuliza swali dogo: unapokuwa umelala usingizi mzito huwa uko wapi.


JESUS IS LORD
 
Amina mtumishi. Mtu wa mwilini amezungukwa na giza nene sana. Namna ya kutoka huko ni Mungu mwenyewe Ahusike. Vinginevyo ni uongo mtupu.


YESU NI NURU
 
Sala na maombezi ni jambo jingine na kuboresha miundo mbinu ni jambo jingine...Mungu humsaidia mtu ambaye kwanza ameonesha juhudi za kujisaidia yeye hupitia mule kwenye hizo jitihada ....anyway wamefanya jambo jema tunaomba serikali irekebishe hiyo miundo mbinu pleaseee
 
Nawaza Kisayansi na siyo Kienyeji, Kiuswahili na Kitanzania kama Wewe / Nyie sawa?
 
Lugha ya mtu inasema mengi sana kuhusu intelligence, intelligent people hawaongei kama wewe halafu, inaelekea unaishi kwa kujidanganya sana!
Intelligence yangu JUHA kama Wewe utaijuaje?
 
Na huyu ni wa huko👇

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…