Jamaa kazingua mkuu.Huo ni ukichaa kukataa kwenda timu kubwa kama mazembe hata kama angelipwa kidogo lakini mguu uliotoka so sawa na uliokaa wabongo hatuwezi kuchukua afcon kwa matope ya akili za kuoza kama hizi.
Amezingua sana,huwezi kukataa of a ya mazembe huo ndio ulikuwa mwanzo wa yeye kufika mbali kisoka kama sama goal.Jamaa kazingua mkuu.
Ajibu ameoa na ana mtoto hivyo kiafrica sio rahisi sana kusonga mbele.Huo ni ukichaa kukataa kwenda timu kubwa kama mazembe hata kama angelipwa kidogo lakini mguu uliotoka so sawa na uliokaa wabongo hatuwezi kuchukua afcon kwa matope ya akili za kuoza kama hizi.
Pengine amezikumbuka bodabodaAmezingua sana,huwezi kukataa of a ya mazembe huo ndio ulikuwa mwanzo wa yeye kufika mbali kisoka kama sama goal.
kabisaPengine amezikumbuka bodaboda
Ajibu ameoa na ana mtoto hivyo kiafrica sio rahisi sana kusonga mbele.
Mishe kama bizi waachie serengeti boys.
[/QUOTE
Humid Mao mbona anafamilia na kaenda kucheza misri
Weka barua yote, hii haina nembo ya MazembeBaada ya Yanga kuwasilisha documents zote zinazousu mchezaji Ibrahim Ajib kwa TP Mazembe Kama walivyoomba
TP Mazembe wameijibu Yanga kwamba wamejitoa katika mbio za kukamilisha usajili wa Ajibu kwasababu wameshindwa kukubaliana maslahi binafsi na mchezaji huyo.
Taatifa za ndani zinasema watu wa karibu wa Ajibu wamemshawi kuelekea kujiunga na Simba kwani atapata maslahi kama atakayolipwa Mazembe
View attachment 1108886
Barua ya kuchonga.Baada ya Yanga kuwasilisha documents zote zinazousu mchezaji Ibrahim Ajib kwa TP Mazembe Kama walivyoomba
TP Mazembe wameijibu Yanga kwamba wamejitoa katika mbio za kukamilisha usajili wa Ajibu kwasababu wameshindwa kukubaliana maslahi binafsi na mchezaji huyo.
Taatifa za ndani zinasema watu wa karibu wa Ajibu wamemshawi kuelekea kujiunga na Simba kwani atapata maslahi kama atakayolipwa Mazembe
View attachment 1108886
Niliposoma "to secure agreement" nikapata shaka.Barua ya kuchonga.