brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Baada ya Yanga kuwasilisha documents zote zinazousu mchezaji Ibrahim Ajib kwa TP Mazembe Kama walivyoomba
TP Mazembe wameijibu Yanga kwamba wamejitoa katika mbio za kukamilisha usajili wa Ajibu kwasababu wameshindwa kukubaliana maslahi binafsi na mchezaji huyo.
Taatifa za ndani zinasema watu wa karibu wa Ajibu wamemshawi kuelekea kujiunga na Simba kwani atapata maslahi kama atakayolipwa Mazembe
TP Mazembe wameijibu Yanga kwamba wamejitoa katika mbio za kukamilisha usajili wa Ajibu kwasababu wameshindwa kukubaliana maslahi binafsi na mchezaji huyo.
Taatifa za ndani zinasema watu wa karibu wa Ajibu wamemshawi kuelekea kujiunga na Simba kwani atapata maslahi kama atakayolipwa Mazembe