3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Itakuwa alishatafuna ela za Mo kitambo huyu jamaa.. Dogo anaringia nini huyu.Amezingua sana,huwezi kukataa of a ya mazembe huo ndio ulikuwa mwanzo wa yeye kufika mbali kisoka kama sama goal.
Kuna kitu sio bure