Ajira katika TISS zitangazwe?

Ajira katika TISS zitangazwe?

Watu wengi wanajiuliza kwa nini Idara ya Usalama wa Taifa TISS haitangazi kazi hadharani kama idara za nje?? Tatizo ni kitu gani?

Ukweli ni kuwa muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa Taifa duniani unachanganya sana (uko very complex), na haufanani kama A na A, au 1 na 1 kama watu wengi wanavyodhania. Utofauti huo unatokana na mambo mengi yanayozifinyanga idara hizo ikiwa pamoja na (but not limited to) muundo na asili ya Taifa husika, hali na mfumo wa kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiulinzi, changamoto zinazokabili nchi husika, msimamo wa kiongozi wa nchi (RAIS), na pia hali ya usalama ya ndani na nje ya nchi. Kwa sababu hiyo mfumo, muundo na hata utendaji kazi wa idara ya MOSSAD ya Israel unatofautiana (kwa namna fulani) na CIA ingawa wajomba hao ni marafiki sana, na pia idara ya Usalama ya Tanzania (TISS) inatofautiana vilivyo na idara za nchi jirani zetu. Kwa sababu hiyo utaratibu wa kuajiri watumishi wapya (majasusi) unaofanywa na TISS sio lazima ufanane na ule wa CIA, MOSSAD, au KGB kwa sababu zilizotajwa.

Vilevile ni lazima ieleweke kuwa nchi zilizoendelea zinazo vyombo vingi vya ujasusi vinavyofanya kazi kwa namna na mtindo mbalimbali na pia kwa kutumia vifuniko vingi(cover). kwa mfano Marekani wana National Security Agency (NSA), Central Intelligence Agence (CIA) na makachelo wa Federal Bureau of Investigation (FBI) ambao kwa asili kazi yao ilikuwa upelelezi wa ndani (kama ilivyo CID ya Tanzania) lakini kutokana na ongezeko la ugaidi duniani, mashujaa hao hivi sasa wanafanya kazi nyingi zakijasusi/upelelezi hata nje ya nchi kwa kushirikiana na idara nyingine. Mashirika haya yanapoajili watu huweza kutangaza waziwazi kwa sababu sheria za nchi zao zinawaruhusu kufanya hivyo.

Hata hivyo ni vema kutambua kuwa waajiliwa wote wanaopatikana kwa mkurulo (kwa matangazo) huishia kufanya kazi za wazi (overtly operations) na sio zile za ujasusi hasa (covertly operations) ambazo ndizo zenye msisimko zaidi. Hawa ndio wale wanaoweza kuwekwa mwenye maofisi ya wazi...mawizara, ikulu na au kufanya kazi za ufundi (technical) Hii ni kwa sababu watu wanaoandaliwa kuwa majajusi (spies) hutakiwa kufanyiwa upekuzi (vetting) wa kina na kwa muda mrefu ili kujua uwezo wao wa kimwili, kiakili, kisaikolojia na mambo mengine mengi yanayoweza kuwapunguzia sifa za kuwa jasusi. Maafisa hawa hata mafunzo yao hufanywa kwa siri na mara nyingine hata maafisa wengine wa idara za usalama hutakiwa wasiwaone au kuwajua ili kupunguza uwezekano wa kuwaumbua,

Kumbe basi, kama unataka kuwa JASUSI wa uhakika (kama Jack Bauer, au Jason Bourne) usihangaike kusubili matangazo ya uajili wa idara. Badala yake ishi maisha ya kujiheshimu na kujitunza sana, usijiingize kwenye scandal za kipumbavu, usijiingize kwenye malumbano ya vyama vya siasa (Naam hata chama tawala), na fanya mazoezi ya ku kujenga kimwili, kiakili na kisaikolojia....JAMAA watakuja kukufuata nyumbani kwako.

Godwin Chilewa
Mwandishi
Idara ya Usalama wa Taifa - Ni chombo cha mauaji?
Umeandika upupu hakuna LA maana
 
Watu wengi wanajiuliza kwa nini Idara ya Usalama wa Taifa TISS haitangazi kazi hadharani kama idara za nje?? Tatizo ni kitu gani?

Ukweli ni kuwa muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa Taifa duniani unachanganya sana (uko very complex), na haufanani kama A na A, au 1 na 1 kama watu wengi wanavyodhania. Utofauti huo unatokana na mambo mengi yanayozifinyanga idara hizo ikiwa pamoja na (but not limited to) muundo na asili ya Taifa husika, hali na mfumo wa kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiulinzi, changamoto zinazokabili nchi husika, msimamo wa kiongozi wa nchi (RAIS), na pia hali ya usalama ya ndani na nje ya nchi. Kwa sababu hiyo mfumo, muundo na hata utendaji kazi wa idara ya MOSSAD ya Israel unatofautiana (kwa namna fulani) na CIA ingawa wajomba hao ni marafiki sana, na pia idara ya Usalama ya Tanzania (TISS) inatofautiana vilivyo na idara za nchi jirani zetu. Kwa sababu hiyo utaratibu wa kuajiri watumishi wapya (majasusi) unaofanywa na TISS sio lazima ufanane na ule wa CIA, MOSSAD, au KGB kwa sababu zilizotajwa.

Vilevile ni lazima ieleweke kuwa nchi zilizoendelea zinazo vyombo vingi vya ujasusi vinavyofanya kazi kwa namna na mtindo mbalimbali na pia kwa kutumia vifuniko vingi(cover). kwa mfano Marekani wana National Security Agency (NSA), Central Intelligence Agence (CIA) na makachelo wa Federal Bureau of Investigation (FBI) ambao kwa asili kazi yao ilikuwa upelelezi wa ndani (kama ilivyo CID ya Tanzania) lakini kutokana na ongezeko la ugaidi duniani, mashujaa hao hivi sasa wanafanya kazi nyingi zakijasusi/upelelezi hata nje ya nchi kwa kushirikiana na idara nyingine. Mashirika haya yanapoajili watu huweza kutangaza waziwazi kwa sababu sheria za nchi zao zinawaruhusu kufanya hivyo.

Hata hivyo ni vema kutambua kuwa waajiliwa wote wanaopatikana kwa mkurulo (kwa matangazo) huishia kufanya kazi za wazi (overtly operations) na sio zile za ujasusi hasa (covertly operations) ambazo ndizo zenye msisimko zaidi. Hawa ndio wale wanaoweza kuwekwa mwenye maofisi ya wazi...mawizara, ikulu na au kufanya kazi za ufundi (technical) Hii ni kwa sababu watu wanaoandaliwa kuwa majajusi (spies) hutakiwa kufanyiwa upekuzi (vetting) wa kina na kwa muda mrefu ili kujua uwezo wao wa kimwili, kiakili, kisaikolojia na mambo mengine mengi yanayoweza kuwapunguzia sifa za kuwa jasusi. Maafisa hawa hata mafunzo yao hufanywa kwa siri na mara nyingine hata maafisa wengine wa idara za usalama hutakiwa wasiwaone au kuwajua ili kupunguza uwezekano wa kuwaumbua,

Kumbe basi, kama unataka kuwa JASUSI wa uhakika (kama Jack Bauer, au Jason Bourne) usihangaike kusubili matangazo ya uajili wa idara. Badala yake ishi maisha ya kujiheshimu na kujitunza sana, usijiingize kwenye scandal za kipumbavu, usijiingize kwenye malumbano ya vyama vya siasa (Naam hata chama tawala), na fanya mazoezi ya ku kujenga kimwili, kiakili na kisaikolojia....JAMAA watakuja kukufuata nyumbani kwako.

Godwin Chilewa
Mwandishi
Idara ya Usalama wa Taifa - Ni chombo cha mauaji?
mmmmmh naogopa
 
Watu wengi wanajiuliza kwa nini Idara ya Usalama wa Taifa TISS haitangazi kazi hadharani kama idara za nje?? Tatizo ni kitu gani?

Ukweli ni kuwa muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa Taifa duniani unachanganya sana (uko very complex), na haufanani kama A na A, au 1 na 1 kama watu wengi wanavyodhania. Utofauti huo unatokana na mambo mengi yanayozifinyanga idara hizo ikiwa pamoja na (but not limited to) muundo na asili ya Taifa husika, hali na mfumo wa kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiulinzi, changamoto zinazokabili nchi husika, msimamo wa kiongozi wa nchi (RAIS), na pia hali ya usalama ya ndani na nje ya nchi. Kwa sababu hiyo mfumo, muundo na hata utendaji kazi wa idara ya MOSSAD ya Israel unatofautiana (kwa namna fulani) na CIA ingawa wajomba hao ni marafiki sana, na pia idara ya Usalama ya Tanzania (TISS) inatofautiana vilivyo na idara za nchi jirani zetu. Kwa sababu hiyo utaratibu wa kuajiri watumishi wapya (majasusi) unaofanywa na TISS sio lazima ufanane na ule wa CIA, MOSSAD, au KGB kwa sababu zilizotajwa.

Vilevile ni lazima ieleweke kuwa nchi zilizoendelea zinazo vyombo vingi vya ujasusi vinavyofanya kazi kwa namna na mtindo mbalimbali na pia kwa kutumia vifuniko vingi(cover). kwa mfano Marekani wana National Security Agency (NSA), Central Intelligence Agence (CIA) na makachelo wa Federal Bureau of Investigation (FBI) ambao kwa asili kazi yao ilikuwa upelelezi wa ndani (kama ilivyo CID ya Tanzania) lakini kutokana na ongezeko la ugaidi duniani, mashujaa hao hivi sasa wanafanya kazi nyingi zakijasusi/upelelezi hata nje ya nchi kwa kushirikiana na idara nyingine. Mashirika haya yanapoajili watu huweza kutangaza waziwazi kwa sababu sheria za nchi zao zinawaruhusu kufanya hivyo.

Hata hivyo ni vema kutambua kuwa waajiliwa wote wanaopatikana kwa mkurulo (kwa matangazo) huishia kufanya kazi za wazi (overtly operations) na sio zile za ujasusi hasa (covertly operations) ambazo ndizo zenye msisimko zaidi. Hawa ndio wale wanaoweza kuwekwa mwenye maofisi ya wazi...mawizara, ikulu na au kufanya kazi za ufundi (technical) Hii ni kwa sababu watu wanaoandaliwa kuwa majajusi (spies) hutakiwa kufanyiwa upekuzi (vetting) wa kina na kwa muda mrefu ili kujua uwezo wao wa kimwili, kiakili, kisaikolojia na mambo mengine mengi yanayoweza kuwapunguzia sifa za kuwa jasusi. Maafisa hawa hata mafunzo yao hufanywa kwa siri na mara nyingine hata maafisa wengine wa idara za usalama hutakiwa wasiwaone au kuwajua ili kupunguza uwezekano wa kuwaumbua,

Kumbe basi, kama unataka kuwa JASUSI wa uhakika (kama Jack Bauer, au Jason Bourne) usihangaike kusubili matangazo ya uajili wa idara. Badala yake ishi maisha ya kujiheshimu na kujitunza sana, usijiingize kwenye scandal za kipumbavu, usijiingize kwenye malumbano ya vyama vya siasa (Naam hata chama tawala), na fanya mazoezi ya ku kujenga kimwili, kiakili na kisaikolojia....JAMAA watakuja kukufuata nyumbani kwako.

Godwin Chilewa
Mwandishi
Idara ya Usalama wa Taifa - Ni chombo cha mauaji?
Asante kwa uzi wenye kuelimisha na kuondoa sitofahamu iliyoko mtaani..asante Sana mkuu lkn naomba kujua je, hao usalama wa taifa wanaweza kumtafuta mtu kwa vigezo kama hivyo ulivyo sema na vipi kuhusu kiwango cha Elimu kinachotakiwa?
 
Swali la msingi, katika watu mil 50 watakuonaje wewe ambaye uko sumbawanga vijijini!!?
Kwa tz maali ambapo wapo wengi sana ni vyuoni. Kule ndio wengi huwa wanachaguliwa, au wanaweza kukuona unafaa wakaanza kukufuatilia mpaka wajiridhishe kuwa unafaa kwa kazi yao.

Lakin hawa jamaa wako kila mahali ..so inategemea na uwing wao wakati huo.
 
Pia ifahamike kuwa kazi hii ina vitengo vingi pia, mfano:-

# majasusi- hawa kazi yao kuu ni kufuatilia mambo au watu kwa ukaribu sana iwapo wametiliwa shaka, wanaweza kujiweka karibu na washukiwa ( participatory observation) na kuishi nao na kuchukua taarifa zao zote na kuzituma kwa commanding manager ambaye naye huzifikisha kwa wakuu wa kitengo kwa upembuzi zaidi.

# makachero- hawa Mara nyingi huwa ni wadhibiti wakuu wa hali yoyote inayoweza kusababisha au kuathiri usalama wa nchi au taasisi mhimu za nchi, hufuatilia nyendo za washukiwa na iwapo wakijilidhisha pasi na shaka ( with no doubt) ndipo huchukua maamuzi magumu ikiwemo hata kuua ( yes, they've license to kill when the arena is alarming) mfano gaidi aliyepanga kushambulia Eneo X humalizwa papo hapo kabla hajatekeleza plan Y, Mara nyingi makachero huchukuliwa toka jeshini ( komandoo), police special forces, magereza ( prisons special task forces) na hufundishwa mbinu za kiupelelezi kisha kuanza kazi za usalama wa taifa ( tiss)

Itaendelea.......( ilikuwa trailer)
Pia makachero selection zao na identity zao ni very protected kiasi kwamba serikali yenyewe huwa inakana uwepo wao au uwepo wakikosi chao.

Hapa kwetu sijui wanaitaje , lakin america wanakiita special activity division(SAD) Kiko under CIA.
 
Natamani niseme kitu lakini malaika wa upande wa bega langu la kulia kaniambia ninyamaze
 
Upande wa CIA wanakikosi maalum kinaitwa special activity division (SAD) . Ndani ya hiki kikosi kuna sub division mbili , moja ina deal na siasa , nyingine ni kikosi maalum cha kuteleleza mauaji, kutegua mabom au kuvuruga mbinu za adui.

Wengi ambao wamo ndani ya SAD wamechaguliwa kutoka vikosi maalum vya makomando kama vile navy seals, delta force, marine recon.
Selection process huwa ni ngum kidogo, na kikosi cha siri ndani ya CIA kiasi kwamba hata serikal ya america inakana uwepo wake.

Upande wa FBI wana divison maalum inaitwa intelligence divion. Similar CIA SAD hiki kimebase zaid kwenye kukusanya zaid intelligencia na kuzui matukio ambayo yanataka kutoka ndani ya nchi.

Selection zao ni open kama za jeshi. Ila wako strict sana. Wana jali sana vigezo vya elimu. Na pia wanaangalia sana wale watu wenye background ya polisi au jeshi.
 
Officers wanakuwa recruited en masse kwa JKT au wanachukuliwa kwa spotting
 
zikitangazwa watajulikana kwa urahisi na wakijulikana kwa urahisi watu watawatenga wakiwatenga watakosa data wakikosa data kazi yao itakua ngumu ikiwa ngumu usalama utakua hamna
 
Watu wengi wanajiuliza kwa nini Idara ya Usalama wa Taifa TISS haitangazi kazi hadharani kama idara za nje?? Tatizo ni kitu gani?

Ukweli ni kuwa muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa Taifa duniani unachanganya sana (uko very complex), na haufanani kama A na A, au 1 na 1 kama watu wengi wanavyodhania. Utofauti huo unatokana na mambo mengi yanayozifinyanga idara hizo ikiwa pamoja na (but not limited to) muundo na asili ya Taifa husika, hali na mfumo wa kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiulinzi, changamoto zinazokabili nchi husika, msimamo wa kiongozi wa nchi (RAIS), na pia hali ya usalama ya ndani na nje ya nchi. Kwa sababu hiyo mfumo, muundo na hata utendaji kazi wa idara ya MOSSAD ya Israel unatofautiana (kwa namna fulani) na CIA ingawa wajomba hao ni marafiki sana, na pia idara ya Usalama ya Tanzania (TISS) inatofautiana vilivyo na idara za nchi jirani zetu. Kwa sababu hiyo utaratibu wa kuajiri watumishi wapya (majasusi) unaofanywa na TISS sio lazima ufanane na ule wa CIA, MOSSAD, au KGB kwa sababu zilizotajwa.

Vilevile ni lazima ieleweke kuwa nchi zilizoendelea zinazo vyombo vingi vya ujasusi vinavyofanya kazi kwa namna na mtindo mbalimbali na pia kwa kutumia vifuniko vingi(cover). kwa mfano Marekani wana National Security Agency (NSA), Central Intelligence Agence (CIA) na makachelo wa Federal Bureau of Investigation (FBI) ambao kwa asili kazi yao ilikuwa upelelezi wa ndani (kama ilivyo CID ya Tanzania) lakini kutokana na ongezeko la ugaidi duniani, mashujaa hao hivi sasa wanafanya kazi nyingi zakijasusi/upelelezi hata nje ya nchi kwa kushirikiana na idara nyingine. Mashirika haya yanapoajili watu huweza kutangaza waziwazi kwa sababu sheria za nchi zao zinawaruhusu kufanya hivyo.

Hata hivyo ni vema kutambua kuwa waajiliwa wote wanaopatikana kwa mkurulo (kwa matangazo) huishia kufanya kazi za wazi (overtly operations) na sio zile za ujasusi hasa (covertly operations) ambazo ndizo zenye msisimko zaidi. Hawa ndio wale wanaoweza kuwekwa mwenye maofisi ya wazi...mawizara, ikulu na au kufanya kazi za ufundi (technical) Hii ni kwa sababu watu wanaoandaliwa kuwa majajusi (spies) hutakiwa kufanyiwa upekuzi (vetting) wa kina na kwa muda mrefu ili kujua uwezo wao wa kimwili, kiakili, kisaikolojia na mambo mengine mengi yanayoweza kuwapunguzia sifa za kuwa jasusi. Maafisa hawa hata mafunzo yao hufanywa kwa siri na mara nyingine hata maafisa wengine wa idara za usalama hutakiwa wasiwaone au kuwajua ili kupunguza uwezekano wa kuwaumbua,

Kumbe basi, kama unataka kuwa JASUSI wa uhakika (kama Jack Bauer, au Jason Bourne) usihangaike kusubili matangazo ya uajili wa idara. Badala yake ishi maisha ya kujiheshimu na kujitunza sana, usijiingize kwenye scandal za kipumbavu, usijiingize kwenye malumbano ya vyama vya siasa (Naam hata chama tawala), na fanya mazoezi ya ku kujenga kimwili, kiakili na kisaikolojia....JAMAA watakuja kukufuata nyumbani kwako.

Godwin Chilewa
Mwandishi
Idara ya Usalama wa Taifa - Ni chombo cha mauaji?
Ngoja tujipange kutafuta hizo sixpack pengine zitakuja hizo fursa
 
Back
Top Bottom