Yapu nishakuelewa aise uko sahihiRudia kusoma nilichoandika na kilichopo kwenye tangazo kipengele b
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapu nishakuelewa aise uko sahihiRudia kusoma nilichoandika na kilichopo kwenye tangazo kipengele b
Wanaita ugoro/sare ya madereva na makondakta wa daladala Dar. Hapo hujakutana na aliyevaa iliyopauka hadi kuchanika [emoji23]Duh magereza wapo local sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata Bure siendi mimi ni aibu hata kuvaa sare zao
NomaUsijidanganye hakuna mbinu hizo TZ zaid ya connection had sahiz kuna vijana zaid ya vijana 6000 wanapiga course ya tpdf na hujaskia sehemu wametangaza jiulize wametoka wapi
Duh mbona mnawaponda sanaWanaita ugoro/sare ya madereva na makondakta wa daladala Dar. Hapo hujakutana na aliyevaa iliyopauka hadi kuchanika [emoji23]
Hawana njaa hawa .wameshiba mkuuDuh mbona mnawaponda sana
KabisaHawana njaa hawa .wameshiba mkuu
Kwani wewe umeamini nilakweliMbona tangazo halina muhuri??![emoji848]
Duh kwaio ni fake auKwani wewe umeamini nilakweli
Mbona tangazo halina muhuri??![emoji848]
Kila mtu ana wazo kama lakoNenda kwenye tovuti ya Magereza utalikuta.
Msipende kukariri muhuri ndio nini sasa? Nyaraka nyingi tu hazina muhuri na ziko valid, alaf mihuri inapatikana Kariakoo mingi tu kwahiyo usitegemee mihuri sana
Ingia www.magereza.go.tz
Utaona hilo tangazo
Kama hauna ajira na sifa unazo omba, sio lazima ufanye kazi magereza unaweza ingia then ukasepa kwenda kwingine kikubwa cheki namba
Watu wanazikimbilia izo nafasi huwez aminiKila mtu ana wazo kama lako
"Dunia ipo kwenye karne ya techologia na sayansi sisi tumejikita kwenye u primitive wala hatuna wasiwasi".
Nimecheka sana kwa kauli hii.
Kwan ajabu kukimbilia?Watu wanazikimbilia izo nafasi huwez amini
Hakua binadamu huyu,roho mbaya Kimbwa.