Ajira mpya 1241 kutoka Jeshi la Magereza Tanzania

Ajira mpya 1241 kutoka Jeshi la Magereza Tanzania

Hahaa

Sema we chalii jau sana, hivi ndiyo mtu wa kukata tamaa hivi hadi kitaa?

Hatukatai connection muhimu, ila walau mtu unajaribu kwa nafasi yako.

Last October nilikuambia apply lile tangazo la askari wanyama pori (Conservation Rangers) la Tanapa, ukatoa same excuses "oooh wana watu wao"

Walio -apply na kupiga ule usaili, nafasi ziliongezwa za kutosha tu na wengine waliofaulu na kubaki kwenye kanzidata, wakaitwa kama security guards (TPA) tangazo la April hapo.

Stop whining, dunia haina huruma hii.

Haya kama hujavuka 25 bado na ulipita Jakata, apply hilo la TFS - Security Guards. TFS, TAWA & TANAPA wote ni Jeshi la Uhifadhi kwa sasa, maslahi yapo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kaka nimekuelewa Sana lkn kwa maisha yangu kile kipindi nilikuwa sina hata nauli ya kwenda kwenye usaili na Mambo mengine kwani ajira zote za majeshi niliomba ila sikupata nafasi kuna wanaitwa baba kantuma walikwenda wengi wengine nilikuwa nawafahamu hii hali kwa macho ilinifanya hadi leo nione bila connection hutoboi Sababu ni hiyo me pekee nisiyekuwa na connection ndiyo nilikosa nafasi zote . kingine mimi kama kijana hizi nafasi nazipambania bila msaada wa mtu yoyote ukiangalia uchumi siyo mzuri kwangu Safari hii nimeanza tena kuomba hiyo magereza tuone rehma za Mungu ila kwa interview nilizofanya ni nyingi Sana ninavyokwambia kuna rafik angu yeye kakata tamaa kabisa kuhusu hizi ajira umwambii kitu ...
 
Hahahaha kaka nimekuelewa Sana lkn kwa maisha yangu kile kipindi nilikuwa sina hata nauli ya kwenda kwenye usaili na Mambo mengine kwani ajira zote za majeshi niliomba ila sikupata nafasi kuna wanaitwa baba kantuma walikwenda wengi wengine nilikuwa nawafahamu hii hali kwa macho ilinifanya hadi leo nione bila connection hutoboi Sababu ni hiyo me pekee nisiyekuwa na connection ndiyo nilikosa nafasi zote . kingine mimi kama kijana hizi nafasi nazipambania bila msaada wa mtu yoyote ukiangalia uchumi siyo mzuri kwangu Safari hii nimeanza tena kuomba hiyo magereza tuone rehma za Mungu ila kwa interview nilizofanya ni nyingi Sana ninavyokwambia kuna rafik angu yeye kakata tamaa kabisa kuhusu hizi ajira umwambii kitu ...
Hahah!
Naelewa man, kuna muda mtu unaweza kata tamaa kabisa lakini haina budi kupambana mpaka tone la mwisho aisee.

Hizi za sasa we tuma maombi kwa sehemu yako, Magereza na kama umri unaruhusu TFS, usikwame aisee.
Yani kama ile ya Tanapa, ungechomoka tu chap kutoka Tanga hadi Chugga(hata kwa treni babu) na usaili ulikua kama lonja ulizotoa.
 
Hahah!
Naelewa man, kuna muda mtu unaweza kata tamaa kabisa lakini haina budi kupambana mpaka tone la mwisho aisee.

Hizi za sasa we tuma maombi kwa sehemu yako, Magereza na kama umri unaruhusu TFS, usikwame aisee.
Yani kama ile ya Tanapa, ungechomoka tu chap kutoka Tanga hadi Chugga(hata kwa treni babu) na usaili ulikua kama lonja ulizotoa.
Samahani mkuu Nieleweshe vizuri apo TFS ni wakina nani na je wametoa nafasi ?
 
Nitajitahid ila kwa Internet cafe mana kwa simu portal wanazingua mno
Au kwa laptop jmos ntafanya kitu
Miamia mzee, fuata miongozo tu. Barua usisahau ku-sign, akaunti iwe na picha, vyeti hakikisha vimehakikiwa etc etc..

Maombi yakikubali kwenda kama ni TFS basi anza kujifua kabisa maana askari lazima uanze na physical tests (usaili wa vitendo) halafu oral mwishoni.
 
Miamia mzee, fuata miongozo tu. Barua usisahau ku-sign, akaunti iwe na picha, vyeti hakikisha vimehakikiwa etc etc..

Maombi yakikubali kwenda kama ni TFS basi anza kujifua kabisa maana askari lazima uanze na physical tests (usaili wa vitendo) halafu oral mwishoni.
Nime apply Forest officer mkuu imekubali sasa
Nakuja ku apply Forest guard inakataa tena na vigezo ninavyo shida ni nini ? maana kuomba post zaidi ya moja ajira portal wanasema inaruhusiwa na inakubali kwangu inaandika application failed
 
Nime apply Forest officer mkuu imekubali sasa
Nakuja ku apply Forest guard inakataa tena na vigezo ninavyo shida ni nini ? maana kuomba post zaidi ya moja ajira portal wanasema inaruhusiwa na inakubali kwangu inaandika application failed
Oi japo sina uhakika sana, sema hapo system itakua inakukataa kisa upo over qualified. Maana kwa post ya security guard inatakiwa kisome cheti cha CSEE na Jakata tu man.

Sasa kama tayari ulisha-upload cheti cha Bachelor au Diplo lazima ikuteme.
 
Nime apply Forest officer mkuu imekubali sasa
Nakuja ku apply Forest guard inakataa tena na vigezo ninavyo shida ni nini ? maana kuomba post zaidi ya moja ajira portal wanasema inaruhusiwa na inakubali kwangu inaandika application failed
Afu iyo sio kwako tu mzee
 
Oi japo sina uhakika sana, sema hapo system itakua inakukataa kisa upo over qualified. Maana kwa post ya security guard inatakiwa kisome cheti cha CSEE na Jakata tu man.

Sasa kama tayari ulisha-upload cheti cha Bachelor au Diplo lazima ikuteme.
Saohill washaanza usahili uko
 
Back
Top Bottom