wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Li-Print then lipige muhuri hapo litakua valid.Mbona tangazo halina muhuri??![emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Li-Print then lipige muhuri hapo litakua valid.Mbona tangazo halina muhuri??![emoji848]
Msukule wa jiwe unaumia sana kuona maza anaachia ajira,lile jamaa lilikua na roho mbaya kuliko Hitler.Kwani wewe umeamini nilakweli
Takupeleka Kilwa ukateswe tena.[emoji1]Duh magereza wapo local sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata Bure siendi mimi ni aibu hata kuvaa sare zao
Msukule wa jiwe unaumia sana kuona maza anaachia ajira,lile jamaa lilikua na roho mbaya kuliko Hitler.
Barua nying siku hizi ni mkono mkuuBarua inaandikwa kwa mkono au inachapishwa?
Inategemea na sehemu ya wilaya uliyopo sehem nyengine muitikio wa maombi mdogohizi ajira ngumu sana
Kaka unajifanya kama hukuwahi kufanywa geresha [emoji23] hizi kazi za majeshi ni ukoo tayar washandaa ndugu zao ilihali vigezo hawanaInategemea na sehemu ya wilaya uliyopo sehem nyengine muitikio wa maombi mdogo
Pamoja na elimu yangu nimeitupa kule nimeomba kitambo sanaVijana ombeni. Achaneni na hao wapumbavu wawili wanaobeza.Mmoja anasema eti yeye hata bure haendi!Njaa haijampiga. Ipo siku atakujaitafuta nafasi ya kujiunga hata na jeshi la sungusungu hataipata mjinga huyu
Nishawahi mkuu tena sitaki kukumbuka [emoji3] ila sema wanaopita bila connection pia wapo sasa tukikata tamaa tukaogopa mzee baba hatutatoboa huwezi jua round hii ni sisiKaka unajifanya kama hukuwahi kufanywa geresha [emoji23] hizi kazi za majeshi ni ukoo tayar washandaa ndugu zao ilihali vigezo hawana
Vikisini hakuna ma service ?Nishawahi mkuu tena sitaki kukumbuka [emoji3] ila sema wanaopita bila connection pia wapo sasa tukikata tamaa tukaogopa mzee baba hatutatoboa huwezi jua round hii ni sisi
HahaaKaka unajifanya kama hukuwahi kufanywa geresha [emoji23] hizi kazi za majeshi ni ukoo tayar washandaa ndugu zao ilihali vigezo hawana
Oi that's the spirit manNishawahi mkuu tena sitaki kukumbuka [emoji3] ila sema wanaopita bila connection pia wapo sasa tukikata tamaa tukaogopa mzee baba hatutatoboa huwezi jua round hii ni sisi
Upo nchi gani mkuu? Ila sisi huku TZ wanachukuliwa form 6 kwa mujibu wa sheria wanakaa miez mitatu nakurud kwao na JKT wakujitolea ambao kunakuwa na elimu mchanganyiko kuanzia la7 had masters huwa ni mkataba miaka miwili jeshini ndo hao wanawatakaHao form four ni lini wameenda JKT? Kwasababu tumezoea JKT wanaenda form six kwa mujibu wa sheria ila sijawahi kuona tangazo la form four kujiunga jkt
Wewe ni Mtanzania kweli?? [emoji15]Inamaana wewe hujui au haujawahi sikia JKT KUJITOLEA?Hao form four ni lini wameenda JKT? Kwasababu tumezoea JKT wanaenda form six kwa mujibu wa sheria ila sijawahi kuona tangazo la form four kujiunga jkt
Tusije tukawa tunachat na Wakenya humu ndani kwenye mambo ya msingi kama haya.Hao form four ni lini wameenda JKT? Kwasababu tumezoea JKT wanaenda form six kwa mujibu wa sheria ila sijawahi kuona tangazo la form four kujiunga jkt
Wewe unaweza kuwa mtoto sana na maisha bado hayaharestore ubongo wako vizuri!!!Hao form four ni lini wameenda JKT? Kwasababu tumezoea JKT wanaenda form six kwa mujibu wa sheria ila sijawahi kuona tangazo la form four kujiunga jkt