Don Vito
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 1,342
- 2,105
Itakua bado, wangekua wametisha kinoma kwa kuwahiBinafsi nilijua ivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua bado, wangekua wametisha kinoma kwa kuwahiBinafsi nilijua ivo
Mzee nilijua kimeumanaItakua bado, wangekua wametisha kinoma kwa kuwahi
Hahaaa, uliapply?Mzee nilijua kimeumana
NimeapplyHahaaa, uliapply?
Vp weweHahaaa, uliapply?
Nimeapply
Mimi nilishatoka kitaa man.Vp wewe
Aamin broAnhaa, Mungu akutangulie upate aisee.
Sema nini usikae kizembe aisee, usaili wa askari kwa TFS nadhani hautokua na tofauti sana na askari wa Tanapa hasa mkija kuambiwa Tpdf itahusika.
Kama sio mtu wa mazoezi hutoboi.
Niko vizur mzeeAnhaa, Mungu akutangulie upate aisee.
Sema nini usikae kizembe aisee, usaili wa askari kwa TFS nadhani hautokua na tofauti sana na askari wa Tanapa hasa mkija kuambiwa Tpdf itahusika.
Kama sio mtu wa mazoezi hutoboi.
Hahaa!Niko vizur mzee
NCAA sijaifaham mzeeHahaa!
Sawa mzee, sema andaa pumzi na mbio aisee.
Askari wanyamapori kwa NCAA na Tanapa askari sifa mbio. Nadhani si mbaya ukajifua na hivi kwa ajili ya TFS.
Usaili wa vitendo huanza na mbio ndefu yani, Ngorongoro huwa ni 3km na Tanapa ni 2.7~2.9km, marks hapo huwa ni 20 ukimaliza chini ya 5 minutes. Ukifika dk ya 5-6 huwa ni 10. Dk ya sita kuendelea umetaga.
Ngorongoro Conservation Area Authority /Mamlaka ya Uhifadhi NgorongoroNCAA sijaifaham mzee
Naomba nikupigie mzee[emoji2][emoji2]Ngorongoro Conservation Area Authority /Mamlaka ya Uhifadhi Ngorongoro
Kwa magereza??Usaili makao makuu kwa watu wa fani vipi tayari au bado
Kama una mbangaa unaweza kukubeba bila Chet Cha jakatabila kuweka ivyo nusu ya shazi la vijana mtaani wangekimbilia uko
[emoji3]ujapigika mkuuu kitaaaDuh magereza wapo local sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata Bure siendi mimi ni aibu hata kuvaa sare zao
Huwezi mambo sio rahisi siku hiziKama una mbangaa unaweza kukubeba bila Chet Cha jakata
Duh magereza wapo local sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata Bure siendi mimi ni aibu hata kuvaa sare zao