Ajira mpya 1241 kutoka Jeshi la Magereza Tanzania

Ajira mpya 1241 kutoka Jeshi la Magereza Tanzania

Baada ya kutoka hawa kesho kutwa Wengine wanaingia chapu kwa haraka. Hakuna kupoa
Screenshot_20220712-170143.jpg
 
Usijidanganye hakuna mbinu hizo TZ zaid ya connection had sahiz kuna vijana zaid ya vijana 6000 wanapiga course ya tpdf na hujaskia sehemu wametangaza jiulize wametoka wapi
Kwa percent flani kuna ukweli ila pia nadhani tpdf wana namna zao za ku recruit freshers hasa wale ambao wapo mwaka wa kwanza mavyuoni kozi za afya na uinjinia ndo wanaotakiwa hasa .
 
Anhaa, Mungu akutangulie upate aisee.
Sema nini usikae kizembe aisee, usaili wa askari kwa TFS nadhani hautokua na tofauti sana na askari wa Tanapa hasa mkija kuambiwa Tpdf itahusika.

Kama sio mtu wa mazoezi hutoboi.

Msitishike sana sana ni kulenga shabaha, sahili na kozi za majeshi huwa havina rehearsal
 
Msitishike sana sana ni kulenga shabaha, sahili na kozi za majeshi huwa havina rehearsal
Hahaa au sio [emoji3]

Sema kweli kozi haina tuition, sema utakubaliana na mimi kuwa lazima mtu awe fiti .

Kwa Tanapa, usaili wa askari wanyamapori/ conservation rangers hufanyika 833 KJ (Oljoro- Arusha)

Muda wa usaili ni wiki nzima. Kila siku watu wanachujwa mpaka watakaobaki kuingia oral interview.

Siku ya kwanza mtareport.

siku ya pili ni kufanyiwa vipimo vya afya; damu, sukari, mishono, pressure, mimba (mademu), marinda, ngwengwe etc etc ukikutwa haupo kamili unaondoka.

Siku ya tatu ndo shughuli inaanza,

Mbio ndefu ( hapa kuna 20%) umbali ni 2.7 km, muda ni dakika 5, ukimaliza kabla ya 5 minutes (una 20), ukifika kuanzia dakika ya 5- mpaka dk 5 : 30 seconds (15%), dk ya 5:30 mpaka dk ya 6 (10%). Dakika ya sita kuendelea una zero.

Mbio fupi (10%) umbali ni mita 200 (muda 40 secs)

Halafu mnakatwa vibangala labda vya watu 15, askari wa JWTZ au Tanapa anasimama nyuma yako anakuhesabia akiwa na karatasi lako la marks.

Push- ups 30 muda ni sekunde 30.

Inafuata kata tumbo 30, muda ni 30 secs.

Mkimaliza hapa mnaenda uwanja wa vikwazo :

Zoezi la kwanza huwa ni Chin ups, hapa unatakiwa ulirukie bomba fulani hivi na ujivute mara 15+

Halafu zoezi linalofuata ni kuruka kisima cha maji kwa kamba (20%), hapa watu huwa wanaogelea kichizi.

Wanamalizia kwa kuruka ukuta wa futi 6.

Mkimaliza hayo yote sasa ndiyo mnaenda range, hapa napo watu hupiga mijusi kinoma.

Kwenye mazoezi yote hayo ukipata zaidi ya 50% ndiyo mnabaki kupiga oral



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa au sio [emoji3]

Sema kweli kozi haina tuition, sema utakubaliana na mimi kuwa lazima mtu awe fiti .

Kwa Tanapa, usaili wa askari wanyamapori/ conservation rangers hufanyika 833 KJ (Oljoro- Arusha)

Muda wa usaili ni wiki nzima. Kila siku watu wanachujwa mpaka watakaobaki kuingia oral interview.

Siku ya kwanza mtareport.

siku ya pili ni kufanyiwa vipimo vya afya; damu, sukari, mishono, pressure, mimba (mademu), marinda, ngwengwe etc etc ukikutwa haupo kamili unaondoka.

Siku ya tatu ndo shughuli inaanza,

Mbio ndefu ( hapa kuna 20%) umbali ni 2.7 km, muda ni dakika 5, ukimaliza kabla ya 5 minutes (una 20), ukifika kuanzia dakika ya 5- mpaka dk 5 : 30 seconds (15%), dk ya 5:30 mpaka dk ya 6 (10%). Dakika ya sita kuendelea una zero.

Mbio fupi (10%) umbali ni mita 200 (muda 40 secs)

Halafu mnakatwa vibangala labda vya watu 15, askari wa JWTZ au Tanapa anasimama nyuma yako anakuhesabia akiwa na karatasi lako la marks.

Push- ups 30 muda ni sekunde 30.

Inafuata kata tumbo 30, muda ni 30 secs.

Mkimaliza hapa mnaenda uwanja wa vikwazo :

Zoezi la kwanza huwa ni Chin ups, hapa unatakiwa ulirukie bomba fulani hivi na ujivute mara 15+

Halafu zoezi linalofuata ni kuruka kisima cha maji kwa kamba (20%), hapa watu huwa wanaogelea kichizi.

Wanamalizia kwa kuruka ukuta wa futi 6.

Mkimaliza hayo yote sasa ndiyo mnaenda range, hapa napo watu hupiga mijusi kinoma.

Kwenye mazoezi yote hayo ukipata zaidi ya 50% ndiyo mnabaki kupiga oral



Sent using Jamii Forums mobile app
Heheheh! Sio lazima upate 100% we kazijaze kwenye target uone unavyoteka show hahah!
 
Hahaa au sio [emoji3]

Sema kweli kozi haina tuition, sema utakubaliana na mimi kuwa lazima mtu awe fiti .

Kwa Tanapa, usaili wa askari wanyamapori/ conservation rangers hufanyika 833 KJ (Oljoro- Arusha)

Muda wa usaili ni wiki nzima. Kila siku watu wanachujwa mpaka watakaobaki kuingia oral interview.

Siku ya kwanza mtareport.

siku ya pili ni kufanyiwa vipimo vya afya; damu, sukari, mishono, pressure, mimba (mademu), marinda, ngwengwe etc etc ukikutwa haupo kamili unaondoka.

Siku ya tatu ndo shughuli inaanza,

Mbio ndefu ( hapa kuna 20%) umbali ni 2.7 km, muda ni dakika 5, ukimaliza kabla ya 5 minutes (una 20), ukifika kuanzia dakika ya 5- mpaka dk 5 : 30 seconds (15%), dk ya 5:30 mpaka dk ya 6 (10%). Dakika ya sita kuendelea una zero.

Mbio fupi (10%) umbali ni mita 200 (muda 40 secs)

Halafu mnakatwa vibangala labda vya watu 15, askari wa JWTZ au Tanapa anasimama nyuma yako anakuhesabia akiwa na karatasi lako la marks.

Push- ups 30 muda ni sekunde 30.

Inafuata kata tumbo 30, muda ni 30 secs.

Mkimaliza hapa mnaenda uwanja wa vikwazo :

Zoezi la kwanza huwa ni Chin ups, hapa unatakiwa ulirukie bomba fulani hivi na ujivute mara 15+

Halafu zoezi linalofuata ni kuruka kisima cha maji kwa kamba (20%), hapa watu huwa wanaogelea kichizi.

Wanamalizia kwa kuruka ukuta wa futi 6.

Mkimaliza hayo yote sasa ndiyo mnaenda range, hapa napo watu hupiga mijusi kinoma.

Kwenye mazoezi yote hayo ukipata zaidi ya 50% ndiyo mnabaki kupiga oral



Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mbona hawa jamaa wana usaili mgumu sana kuliko majeshi mengine ?
 
Dah mbona hawa jamaa wana usaili mgumu sana kuliko majeshi mengine ?
Oya man inakuaga sio poa kmmk!

Kwa majeshi nchi hii, hamna usaili mgumu kama wa askari wanyamapori. JWTZ sanasana ni vyeti na damu tu.

Hizo mbio ndefu zenyewe mnakatwa kibangala, labda herufi A wa kiume tu, mnakimbia nyuma kuna ambulance ya Jeshi, unaambiwa kabisa ukichoka we panda ila ndo usaili byebye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana maslahi mazuri sana eeh ,?
Wapo vizuri man, si unajua nao ni jeshi sikuhizi, JUTZ ( Jeshi la Uhifadhi Tanzania). Pay yao ilikua 900k kasoro kabla ya Mama Samia kupandisha mishahara, kuna Housing allowance 150k, kukaa porini usiku, doria, safari, nauli, kazi maalum, chakula na vinywaji vyote hivyo unapewa posho.


Tatizo ni kwamba sikuhizi askari wapya wanakufa sana maporini huku, ndiyo maana hata kwenye usaili wanakua wakali na kozi ya miezi sita ikatokea umepita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom