hakuna lolote woote hapa hatuna jibu sahihi serikali ni sirikali.
yaan mm nahc kulia kwa jinc nlivosubiria leo Mungu anajua
Kuanzia Julai posho ni 100,000/= kwa jiji na manispaa, 80,000/= mkoani na wilayani na kwingineko ni 60,00/=kwa mujibu wa Waraka wa Watumishi wa Serikali Na. 4 wa 24 Novemba 2014. Asije akawadhulumu mtu haki zenu. Mara nyingi wakubwa wanaficha hizi nyaraka kusudi wawapunje haswa walimu.Nani aliyekuambia au unadanganya wenzako tu..... Waalimu vuten subira ajira zitatoka mwezi wa nne kuripot wa tano
Hivi hawa maccm wa wapi hawa? serikali inashindwa hata kujiongeza kufikiria,bajeti ya waalim ilipangwa tokea mwaka jana july,sasa inasubir nn kuwaajiri waalim,kwahili serikali imechemka,
Hi nchi bhana yan, hapa saiz nipo tunduma vurugu zimetokea kati ya ccm na chadema, sababu eneo ambalo chadema wanataka jenga zahanati sisiem wanadai et ni eneo lao.
cha ajabu hlo eneo haliwanufaish wananchi badala yake huwa wanapak magar ya makubwa yanayo enda zaire..
Hi nchi bhana yan, hapa saiz nipo tunduma vurugu zimetokea kati ya ccm na chadema, sababu eneo ambalo chadema wanataka jenga zahanati sisiem wanadai et ni eneo lao.
cha ajabu hlo eneo haliwanufaish wananchi badala yake huwa wanapak magar ya makubwa yanayo enda zaire..
Hivi hawa maccm wa wapi hawa? serikali inashindwa hata kujiongeza kufikiria,bajeti ya waalim ilipangwa tokea mwaka jana july,sasa inasubir nn kuwaajiri waalim,kwahili serikali imechemka,
mh kweli kazi ipo wacha tusubiri tu
Tukiwa wanaharakati wanasema sisi ni ukawa.. .I hate ccm yaan wanafanya hii nchi iwe zaid ya geto... Af hawajui kuwa hao waalimu wanavyozid kuwacheleweshea ajira zao wanawapa credit upinzan??? Ukawa tuchukue hii nchi maanake
yaan mm nahc kulia kwa jinc nlivosubiria leo Mungu anajua
tatizo walishazoea kutudanganya na tulikua tunakubali bt nw hatuwezi vumilia tena uovu wowote....ccm siyo chama kibaya ila sasa tatizo lao hua hawataki kukubali ukweli hata sehemu ambapo ukweli upo wazi
cha msingi ni kuomba Mungu tu tuchaguliwe......maana unaweza ukasubiri kwa hafu afu ukosekane so tumwombe tu Mungu na sisi tuwemo kwenye list ya waajiriwa wapya
kweli bana ilo ndo la muhm kumuomba Mungu upangiwe hata wakitoa may
Mbona unaenda chaka swali jepesi kabisa??
Mtu kauliza mambo mengine we unajibu vingine
Duuh.....