NYEHUNGE
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 344
- 68
Ndo walivyo walimu wa siku hizi. Huwezi kuwa na walimu wa namna hii alafu utegemee wanafunzi wafaulu vizuri labda huibe mtihani
Yaani ni bora na hao walimu kuliko wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo walivyo walimu wa siku hizi. Huwezi kuwa na walimu wa namna hii alafu utegemee wanafunzi wafaulu vizuri labda huibe mtihani
bunge leo linaanza tuwasikilize labda pinda atatoa tamko na kawambwa kama ipo au aipo walimu wenzangu
Jamani hivi serikali anajua walimu wanavyohangaika mtaani!!!?
kisa nnNdo walivyo walimu wa siku hizi. Huwezi kuwa na walimu wa namna hii alafu utegemee wanafunzi wafaulu vizuri labda huibe mtihani
ata uko vijijin utahangaika vivo hivyoJamani hivi serikali anajua walimu wanavyohangaika mtaani!!!?
kila siku mnaboost tu siku tutafika mwakani sasa
Kusubiri ajira za ualimu ni sawa na kusubiri kampeni za Chadema kurushwa live TBC one.... Poleni waalimu tujarbu kutafuta alternative...
We usidanganywe na mtu kwa degree unalipwa 45000 mara 7 jumlisha na nauli yako peke yake hizo laki 4 sijui 6 ni uongo na wala haijalishi wilaya kilasehemu bei ni sawa kijana
Atnetive gan? mbona too late now!
watishien hao masisiem au mnawaogopa.. mbona kada zngne wameshaajir kwanini walimu? duh polen sana
acha kupotosha umma, mimi ni mwalmu mzoefu kabsaa,mwaka wa 5 huu nafundsha,usitafute umaarufu kuptia ualimu