Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ajuaye Ajira lini. Umetumiwa edited attachment
Kwa degree posho ya kujikimu 65000 x 7 then unapewa na nauli nauli (tunza tiketi)
...... Tunza tiketi.
Yapo maeneo kama manispaa za dsm posho ni 100000 x 7 na nauli pia....
HIZO ZINGINE MBWEMBWE na zinatolewa na wasioelewa
NB. nadeclare interest kuwa mimi ni HR so i know....
Kuhusu posho ya mazingira serikali bado kigugumizi ila ilipendekezwa bungeni
regards
Mmmmmh!!!! Mhe HRO inamaana mwenye degree anapata 65,000 popote alipo hata kama siyo jiji/Manispaa??? Na huo waraka unaowapa upendeleo watumishi wa dsm kupata 100,000 kwa siku ni upi???
Mhe HRO sio kwamba Manispaa na majiji posho ni 65,000 na Halmashauri za wilaya posho ni 45,000 times 7 days????? By the way, ww ni HRO wa Wapi??? Hatari sana hii kama haya yanasemwa na HRO basi kuna tatizo hapa!!!!
Walimu mna shida kwahiyo mtu hujaariwa lkn ushaanza kupigia hesabu hela ya kujikimu? Ila kuna kazi zingine dah!
Majina yatatoka lini wadau
mbna kuna tangazo lnasema ajra n tar 12/4 ndo majna yanatoka na job n tar moja may
msomi gani unashindwa kuandika "diploma" hafu unatuandikia "deploma"
Majina mwezi wa nne kuripoti wa tano mkuu
Ni July ndugu sio may nmewasiliana na watu wa wizara...
Hakuna ajuaye Ajira lini. Umetumiwa edited attachment
Tulitegemea mzigo utatoka kuanzia jana ila bado hadi leo march 16/ mambo sio. Na hakuna maelezo.
issue za kusema ajira hadi mwezi wa tano..au july hilo halipo coz we ar waiting for an official announcemnt from the government.
seee yaaa then. Ula hadi tarehe 20 mrch kitataeleweka.
hakuna lolote woote hapa hatuna jibu sahihi serikali ni sirikali.wapo wanaojua......na usikute katika mjadala huu kuna jibu sahihi ila tu hatuezi kuamini kwa sababu kila mtu anasema yake
yaan mkiona siku mlodanganya watu imefika alafu bila mnasogeza mbele mwez angalia isifike mwez wa 12Majina mwezi wa nne kuripoti wa tano mkuu