Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni Interview ya Elon Musk mwenyeweI will be somewere on the surface of the earth.
Lete mchanganuo tufungue maabara huku mtaani!Habari wakuu natafuta kazi Nina certificate ya laboratory Nina experience ya laboratory technician, Quality control, microanalysis, blending oparetor.pia sichagui kazi .yeyote atakaye nisaidia yani anipe connection nipo tayri kuingia naye mkataba atakuwa anachukua asilimia 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
Kama unaweza fungua kampuni ya uzalishaji wa vinyaji vya spirit kama konyagi,kvant nk maana Nina uzoefu wa utengenezaji pia ndo kuna pesa sasa .kwahyo mm maabara yangu nimebezi huko siyo ya binadamLete mchanganuo tufungue maabara huku mtaani!
Shukrani mkuu kwa moyoUsijalii mkuu,,, wakatii wa Mungu ni wakati sahihi ipo siku utaona manufaa ya elimu yko na utasahau yote hayo
More than pain broAisee inauma Sana kuona kijana aliyeishia form 4 akikupa maelekezo kazini kwake.
This world isn't fair.
Education (ualimu)Ulisoma kozi gani?
Hakika tunaoishi kwa matumaini ya kusubiria ajira tunapitia changamoto sana asee, yani mimi ni wakupewa kibarua na mtu aliyeacha shule darasa la 5, hiki hakijaniuma sana kilichoniuma ni maneno yake kwamba shule nilienda kupoteza muda.
Daah!!! Ni lini hizi dharau zitaisha jamani
Bro ila usjal utafanikiwa sana Cha msingi ni Dua tu, wengine bado tunasoma lkn hatujuw mbeleni tutavuna nn,...Mtihani sana
Education (ualimu)
Dharau kila sehemu zipo ni kupotezea tu.life linabadilika.Bro ila usjal utafanikiwa sana Cha msingi ni Dua tu, wengine bado tunasoma lkn hatujuw mbeleni tutavuna nn,...
Kuna wadau waliachaga shule kitambo lkn Wana maisha mazuri na wanaidhihaki elimu mno kama ivyo,,.nishawahi kusikia mtu anamwambia mwenzake "natafuta anayeweza kuchimba choo ila awe na cheti Cha form four" hii kauli ilisemwa na mtu ambaye ameishia darasa la Saba akimwambia ambaye amehitimu form six akisubir kwenda chuo,.. hizo dharau kwakweli sjuw zitaishaga lini
Literature in English and KiswahiliMajor subjects.