Ajira ni mtihani

Ajira ni mtihani

Hakika tunaoishi kwa matumaini ya kusubiria ajira tunapitia changamoto sana asee, yani mimi ni wakupewa kibarua na mtu aliyeacha shule darasa la 5, hiki hakijaniuma sana kilichoniuma ni maneno yake kwamba shule nilienda kupoteza muda.

Daah!!! Ni lini hizi dharau zitaisha jamani
Yatapita tu hayo...usiyawaze Sana hata kupoteza matumaini.
 
Yaani mnababaishwa na la saba Ambae hata kingereza hajui yaani mtu uwe hata degree Gani? Ukidharauliwa na la saba jitafakari sana aisee. Maneno mengi ya hao jamaa sio dharau ni defency mechanism
 
Bwamdogo anafikiria akipata kazi ndo dharau zitaisha! Dogo wenzio tumemaliza 2012 tukasota wee, tukajiongeza na mtaa, niliamua kuendeleza kipaji changu cha utoto cha ufundi, nikaingia gereji leo mi ni fundi wa umeme wa magari. Yan fresh tuu hakuna mtu anajua nina degree na nimesogea sehemu flani kimaisha. Weka degree pembeni afu tumia ulichonacho "kusavaivu" bwa mdogo. Nilikaa gereji mwaka tuu nikawa nimejifunza kazi kibishi sana, uzuri wa gereji hatubaniani kufundishana kazi madam uwe mtii, kujituma na kuheshimu watu wanaokufundisha. Alhamdulilah degree yao nishaisahau kabatini huko.
Nimependa jinsi ulivyodiverge, that's the spirit mkuu. Yaani varsity ukasoma kitu fulani, then ukaingia mtaani ukaona no way, I can't survive this way, ukatafuta firsa nyingine....nimeipenda!!

Sasa kwa ufundi huo na degree yako, you have a very bright future kama utaamua kujiendeleza.
 
Nimependa jinsi ulivyodiverge, that's the spirit mkuu. Yaani varsity ukasoma kitu fulani, then ukaingia mtaani ukaona no way, I can't survive this way, ukatafuta firsa nyingine....nimeipenda!!

Sasa kwa ufundi huo na degree yako, you have a very bright future kama utaamua kujiendeleza.

Yaani mkuu ningesema nisijiongeze wenda mpaka leo ningekuwa bado sijaeleweka. Si unajua degree zetu hizi za sanaa mkuu. Ni hatari
 
Tufanyaje sasa
Yaani mnababaishwa na la saba Ambae hata kingereza hajui yaani mtu uwe hata degree Gani? Ukidharauliwa na la saba jitafakari sana aisee. Maneno mengi ya hao jamaa sio dharau ni defency mechanism
 
Mtaji wa Nini? usitake nikupe lugha chafu Msenge wewe, mmekaa tu HUKO vijana mjiajiri alafu mnalazimisha Watoto waende Shule km SIO usenge ni Nini wakimaliza Shule Ajira hamuwapi Si usenge HUO fungeni vyuo basi
Mpaka umepigwa ban kijana mbona mambo madogo haya?. Stress za kuachwa au?
 
Vipi lakini kakilipa??
Labda ujira wako kajumuisha na dharau hizo
 
Nimesoma kuwa Wawekezaji wameongezeka sana nchini kutokana na sera nzuri za serikali; je wawekezaji hao hawapunguzi tatizo la ajira?
 
Back
Top Bottom