Hapo ofisini kwao penyewe wapo walinzi tu na mabenchi.wahusika wako wanadhurura tu huko mnadani wakinywa supu ya utumbo wa mbuzi.Kwakifupi uende tu dodoma pale 77 panda gari zinazoenda social waimbe wakushushe utumishi.watatua shida yako kwa haraka sana
Watalamu naomba mnisaidie inawezekanaje mimi wa Maendeleo ya Jamii kukataliwa kuomba kazi za Ustawi wa Jamii na wanawahitaji watu waliosomea Sociology n.k akati mimi nimesoma Sociology, Child right kama masomo ndani ya Course yangu pendwa ya Maendeleo ya Jamii.
Na Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Jamii mbona kama zinaendana!?
Kinachoniumiza mbona wanahitaji watu wa Sociology akati Sociology na Community Development ni wale wale tu.Yan kuna vitu vipo wazi sana kazi ni ya ustawi ww wa maendeleo unazani system itakukubal mbona kazi za MAENDELEO watu wa ustawi pia system huwkataa pia
Wapigie waeleze hzo course zote Ni sawaKinachoniumiza mbona wanahitaji watu wa Sociology akati Sociology na Community Development ni wale wale tu.
Hao wanasheria watakaoenda kwny hio Pepa ya F/Management watakutana na kipigo zaidi ya kile walichokipata Ma HR walipoomba zile nafasi pale bandarini(Operational officers).Yani nimeshangaa sana kuona watu wa sheria nao wamekuwa qualified kuomba nafasi za financial management officer
Kwamba hujui huyo jamaa unayemtumia kwny avatar yako ndio alihamishia wafanyakazi Dom sio?Jana nilienda ofisi za sekretariat ya ajira hada dar es salaam, nikambiwa ofisi zimeambishiwa Dodoma hapo wamebaki watu wawili tu na wao hawatakuwepo hadi baada ya wiki mbili. Nilishangaa sana inawezekanaje ofisi ya selikari kufungwa hivo..
Ukilitimba wa ajabu umeingia utumishi, watu wa aquaculture mfumo unawazuia kutuma kazi za afisa uvuvi akati miaka yote wanapata.Watalamu naomba mnisaidie inawezekanaje mimi wa Maendeleo ya Jamii kukataliwa kuomba kazi za Ustawi wa Jamii na wanawahitaji watu waliosomea Sociology n.k akati mimi nimesoma Sociology, Child right kama masomo ndani ya Course yangu pendwa ya Maendeleo ya Jamii.
Na Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Jamii mbona kama zinaendana!?
Community Developmentmaendeleo ya jamii na ustawi wa jamii mbona vitu viwili tofauti. ndio maana wameweka qualifications.. subir ajira za maendeleo ya jamii utaomba. ambapo hata mtu wa ustawi wa jamii hawezi kuomba.
Wapigie waeleze hzo course zote Ni sawa
Aliyeshiba ni ngumu sana kumkumbuka mwenye njaa.. aya maisha tu.. ipo sikuUkilitimba wa ajabu umeingia utumishi, watu wa aquaculture mfumo unawazuia kutuma kazi za afisa uvuvi akati miaka yote wanapata.
Hapa umeupiga mwingiCommunity Development
Social work
Gender and development
Management of social development
Wote wanafanya kazi kwa kuingiliana hakuna tofauti.
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Katika mfumo wa utoaji ajira wanaconsider hao wote ni kitu kimojaHapa umeupiga mwingi
Ni kweli, ofisi za utumishi zipo Dodoma mbona tangu kitambo sana.Jana nilienda ofisi za sekretariat ya ajira hada dar es salaam, nikambiwa ofisi zimeambishiwa Dodoma hapo wamebaki watu wawili tu na wao hawatakuwepo hadi baada ya wiki mbili. Nilishangaa sana inawezekanaje ofisi ya selikari kufungwa hivo..
Jamani hawa ajira portal ni wakatili sana, nashindwa kuwaelewa kwanini wanakuwa na ubaguzi kiasi hiki.. soma kwa makini izo qualifications na hapo kuna kitu wameandika from any equivalent qualifications lakini wananikataa mimi wa Community Development.. kweli jamani Sociology, Law, Public Administration sio Equivalent na Community Development!! Hawa ajira portal wanajua kukatisha tamaa watu kuhusu ndoto za kuajiriwa, Mh. Rais Samia naomba sikia kilio hiki Waziri Jenista Mhagama sikio kilio hiki mama π’ππ nimeumia sana kama kijana mwenye ndoto za kuajiriwa na serikali yangu pendwa. Yatapita tu πΉπΏ Nakupenda Tanzania.
Hawa watu hivi tuliwakosea nini?mfumo wao ni wa kifala sana, mtu unakua na sifa ila inakugomea
halafu wameweka namba za simu ambazo hazipatkani, hii nchi kuna ofisi zimebeba mizigo isiyojitambua tu, kaz kula mishahara tu
View attachment 2249726