Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Una sababu ya msingi ya kwann hutaki kutumia hicho cheti.?
NATAKA NISOME BACHELOR YA KITU KINGINE TOFAUTI, SO NATAKA WANITOE KWENYE MFUMO NISOMEKE MTU WA DIPLOMA... KWANI MFUMO HAURUHUSU MTU MWENYE BACHELOR TOFAUTI KUOMBA KAZI...YANI NINA BACHELOR YA IT NA BACHELOR YA ECONOMICS NIKI UPLOAD VYOTE JE NITAWEZA OMBA KAZI IPI? MFUMO HAUPO ELEKEZI...BUT GENERAL KWA SASA SITAKI NISOMEKE DEGREE NI MAAMUZI TU....KAMA MWENGINE ANASEMA MM SITAKI HIKI.
 
Hapo shida nn jombi, una edit tu kwwnye akaunti kwa kufuta then unasave
Impossible ndio
Kwa uzoefu wangu najua haiwezekani kwa sababu yoyote ile, ila siwezi kukukatisha tamaa ni bora ujaribu kufanya jambo ndipo ushindwe kulitimiza.
Nakuombea Mungu ufanikiwe kutimiza unachotaka.
AMIINA KAKA, THANKS FOR YOUR POSITIVE RESPONSE 🙏UBARIKIWE
 
NATAKA NISOME BACHELOR YA KITU KINGINE TOFAUTI, SO NATAKA WANITOE KWENYE MFUMO NISOMEKE MTU WA DIPLOMA... KWANI MFUMO HAURUHUSU MTU MWENYE BACHELOR TOFAUTI KUOMBA KAZI...YANI NINA BACHELOR YA IT NA BACHELOR YA ECONOMICS NIKI UPLOAD VYOTE JE NITAWEZA OMBA KAZI IPI? MFUMO HAUPO ELEKEZI...BUT GENERAL KWA SASA SITAKI NISOMEKE DEGREE NI MAAMUZI TU....KAMA MWENGINE ANASEMA MM SITAKI HIKI.
Binafsi tuu naona hy sio sababu ya msingi
 
Unataka kubadili ili iweje? kwamfano saivi unatageti ajira za dip ukikosa zikatoka za Digrii je?

Nyie mnasumbuaga mkiajiriwa kwa Dip baade mnatoa vyeti vya shahada na kulalamika kubadilishiwa muundo wakati ikama na mahitaji ya mwajiri ni stashahada.
 
Unataka kubadili ili iweje? kwamfano saivi unatageti ajira za dip ukikosa zikatoka za Digrii je?

Nyie mnasumbuaga mkiajiriwa kwa Dip baade mnatoa vyeti vya shahada na kulalamika kubadilishiwa muundo wakati ikama na mahitaji ya mwajiri ni stashahada.
NDIO MAANA NIKASEMA NATAKA NIAPE MAHAKAMANI ILI NISITUMIE CHETI CHANGU, MBONA WATU WANAAPA KUBADIRI JINA WASITUMIE LA MWANZO
 
NDIO MAANA NIKASEMA NATAKA NIAPE MAHAKAMANI ILI NISITUMIE CHETI CHANGU, MBONA WATU WANAAPA KUBADIRI JINA WASITUMIE LA MWANZO
Mm sidhani kama hii ni sababu ya msingi itakayokufanya ufutiwe hiyo degree
 
Umeandika sahihi na ilishawahi kunitokea,
mm nina diploma sasa mwaka jana tbc wakatangaza kazi ya cameraman wanataka mwenye form four au six ila mm nilishindwa kuomba mana nilikuwa nimeweka diploma ya hiyo hiyo ya u-cameraman, nakumbuka niliwasumbua sana ajira portal kwa kila njia ili wafute hy diploma lkn wakanikazia,
mwaka huo huo mwezi wa 10 kuna taasisi ikatangaza kazi wanataka diploma ile ambayo nimesomea mimi hvy nikatuma maombi na kufanya interview lkn sikufanikiwa kupata kazi,
kwahy kama ningefanikiwa kufuta ile diploma mara ya kwanza na nngekosa kazi ya hapo TBC ungekuta tena nairudisha hiyo diploma ili niombe hiyo Kazi kwenye hy taasisi.
Mwisho wa siku ni kutulia tuu na licheti lako uliloliweka kwenye system 😂😂
HEBU JARIBU KUWA, MUELEWA MIMI SITAKI KABISA, NA KAMA KUNA NJIA YA KUFUNGA NI SI UPDATE CHOCHOTE NIPO KWA RADHI YANGU, NA AKILI TIMAMU
...WAFUNGE NISI ADD CHOCHOTE BAADA YA KUTOA... PIA NIJICOMMIT KUTOTUMIA CHETI CHA DEGREE UNLESS NIKASOME TENA, THREE YEARS
 
HEBU JARIBU KUWA, MUELEWA MIMI SITAKI KABISA, NA KAMA KUNA NJIA YA KUFUNGA NI SI UPDATE CHOCHOTE NIPO KWA RADHI YANGU, NA AKILI TIMAMU
...WAFUNGE NISI ADD CHOCHOTE BAADA YA KUTOA... PIA NIJICOMMIT KUTOTUMIA CHETI CHA DEGREE UNLESS NIKASOME TENA, THREE YEARS
Nadhani ww ndo huelewi nachokiandika
 
THN NABISHANA NA WEWE, WAKATI HATA SIKUTAKIWA FANYA HIVYO...POOR ME🤔 NGOJA SIKUKUU ZIISHE NIENDE ...WANIKATALIE WENYEWE
Usipoteze resources zako,hutopata msaada wa unachokitaka.wasikilize wenzio wanaokupa experiences zao hapa kuhusu hao utumishi.
 
Ukiweka degree mbili utaomba ile ya mwisho kuweka
Me najua unaomba yoyote kati ya hizo degree zako mbili.namjua jamaa yangu mmoja, ana BA economics na Bcom in accounting. Zikitoka kazi zozote za either economics, accounting or commerce anaomba na anaitwa interview vizuri tu.
 
NDIO MAANA NIKASEMA NATAKA NIAPE MAHAKAMANI ILI NISITUMIE CHETI CHANGU, MBONA WATU WANAAPA KUBADIRI JINA WASITUMIE LA MWANZO

Duuh what happened mbona unataka kuikana kwa nguvu zote elimu yako uliosoma miaka mitatu?
Kwa mtazamo wangu ukitumia cheti cha degree ni lahisi zaidi kupata kazi kuliko diploma, kwani naona siku hizi ajira nyingi zinazotangazwa wanataka degree zaidi.!

Anyway Mungu akupatie hitaji la moyo wako
 
Me najua unaomba yoyote kati ya hizo degree zako mbili.namjua jamaa yangu mmoja, ana BA economics na Bcom in accounting. Zikitoka kazi zozote za either economics, accounting or commerce anaomba na anaitwa interview vizuri tu.
Asante kwa kunielewesha.
 
Duuh what happened mbona unataka kuikana kwa nguvu zote elimu yako uliosoma miaka mitatu?
Kwa mtazamo wangu ukitumia cheti cha degree ni lahisi zaidi kupata kazi kuliko diploma, kwani naona siku hizi ajira nyingi zinazotangazwa wanataka degree zaidi.!

Anyway Mungu akupatie hitaji la moyo wako
Recently ajira nyingi zinataka diploma mkuu.fuatilia ajira portal uone.kuanzia hizi za TRA,TPA na nyingine nyingi diploma ndio habari ya mjini.
 
HEBU JARIBU KUWA, MUELEWA MIMI SITAKI KABISA, NA KAMA KUNA NJIA YA KUFUNGA NI SI UPDATE CHOCHOTE NIPO KWA RADHI YANGU, NA AKILI TIMAMU
...WAFUNGE NISI ADD CHOCHOTE BAADA YA KUTOA... PIA NIJICOMMIT KUTOTUMIA CHETI CHA DEGREE UNLESS NIKASOME TENA, THREE YEARS
ni mfumo gani utakumonita ww kuhakikisha hukitumii hicho cheti kuombea kazi baada ya kuapa mahakamani?
 
Back
Top Bottom