Doreen20
Senior Member
- Oct 12, 2018
- 137
- 77
Ni bora nisilalamike ili kila mtu apate kaziSister uki -over qualify haufiti kwa kazi husika kila kada ina qualifications zake na wage rate yake hivi ukiajiriwa na degree yako ukalipwa mshahara wa Diploma (maana ndio mahitaji ya mwajiri) hutalalamika upom underpaid?