Ajira Serikalini iwe miaka 10 tu, baada ya hapo watu wastaafishwe

Ajira Serikalini iwe miaka 10 tu, baada ya hapo watu wastaafishwe

Wazee wa kula keki
Nyie ndiyo mkiajiriwa mnatuibia wahuni wakubwa
Kule unafanya kazi kwa miongozo, sheria na kanuni zilizopo, huwezi kujipelekea ubunifu wako, si kampuni ya ukoo ile.
 
Wewe unafikir ukiajiriwa utaleta tija gani?
Kwanza wewe ni kilaza ungekuwa kipanga ungeshaajiriwa
Huku private hatuwataki vilaza kama nyie
Kweli ubunifu uko sekta binafsi na lazima uwe vizuri kichwani; huku kwingine unakuwa kama umefungiwa kwenye box, unafanya kazi kutokana na miongozo, kanuni, na sheria zilizopo. Ukitoka nje ya huo ulingo, utajieleza vizuri.​
 
Mafao ya watumishi si michango yao. Halafu unapoitetea serikali kwamba haina hela za kulipa watu hao wakati kuna kundi dogo la watu linaweza likakwapua zaidi ya trillion 1 ndani ya mwaka kwenye mfumo wa serikali na maisha yakaendelea. Mbona usiseme serikali itafilisika?
vyote hivyo vinafilisi serikali
 
Back
Top Bottom