Ajira Serikalini iwe miaka 10 tu, baada ya hapo watu wastaafishwe

Ajira Serikalini iwe miaka 10 tu, baada ya hapo watu wastaafishwe

We umeajiriwa that’s why unaongea hivyo hujui watu wanavyopitia magumu na wamegharamia elim zao pia, ukiniuliza me nnamchango gani na wewe unamchango upi tofauti na hiyo uliyosema hapo!?

Cha tofauti kati yangu me na wewe ni kwamba we upo ni position monger, hutaki kuachia nafasi wengine na hujajipanga kustaafu mana unajua huna mida specific wa kukaa kwa office uliyopo.

Wacha tuongee huenda ipo siku Sauti zetu zitafika pale ambapo tunahitaji, leo Kuleni tu ila aliyemleta JPM atamleta mwingine mwenye maamuzi ya kiume zaidi na mtatafutana tu, mmekuwa waroho wa mali za umma, mmejawa hila tamaa na ubadhilifu pamoja na dharau.

Ety fanya kazi Acha aliepata apate kauli ya kipuuzi mno hii.
Unapoteza muda na hii hoja. Unapaswa kutofautisha uendeshaji wa Serikali na kitu kama biashara ya hardware au kufyetua tofali. The more mtu akifanya kazi ndivyo anakua master wa hio kazi.
Zaidi sikuona mtu anasema anataka kwenda kuboresha nini ila imeelezwa kama ni mzunguko wa watu kuajiriwa Serikalini kwa ajili ya kupata fedha.
Kama unasema una elimu nzuri mbona usiombe hata huko private au ukajiajiri?
 
Unapoteza muda na hii hoja. Unapaswa kutofautisha uendeshaji wa Serikali na kitu kama biashara ya hardware au kufyetua tofali. The more mtu akifanya kazi ndivyo anakua master wa hio kazi.
Zaidi sikuona mtu anasema anataka kwenda kuboresha nini ila imeelezwa kama ni mzunguko wa watu kuajiriwa Serikalini kwa ajili ya kupata fedha.
Kama unasema una elimu nzuri mbona usiombe hata huko private au ukajiajiri?
Yeyote anaetamka neno kujiajiri na yuko ofisini Kwa mtu au umma. Hajui Kesho yake la sivyo angefyata mkia. Maana ni ubinafsi ambapo shetani mwenyewe anakaa chonjo.
 
Unatumia kiungo Gani kufikiri kiongozi?
Hapana kwa kutumia rationality, kuna sectors zinafaa kuajiri watu kwa muda mrefu na sectors zingine zinapaswa kuajiri watu kwa muda mfup.

Hicho unachokisema kipo sahihi ila umeegemea katika upande wa watu wanaopaswa kupewa muda katika nafasi za kiutendaji.

Lakini pia tukitizama hao hao madaktari bingwa waliokuwa wachache muda wa miaka kumi ni mingi kazini wanaweza kufanya kazi then baada ya hapo wakawa wakufunzi katika vyuo vikuu vya madaktari hapa nchini na wakasaidia kuzalisha madaktari bingwa wengine wengi, Mbona ni swala linalowezekana kama serikali ikiamua.
 
Tambua yakuwa hata mifumo ya elimu ipo kuchelewesha watu kukaa madarasani iki waajiriwee umri ukiwa umeenda.

Lakufanya serikali ianze kuajiri watu wenye masters na kuendelea
 
Ukweli ndio huu, serikalini kila mtu anajivunia security ambayo ndio hio pensheni. Wala focus sio ku deliver wengi wanaenda makazini kwa sababu watalipwa mshahara mwisho wa mwezi na posho za katikati ya mwezi🤣 ndio maana ukiwaambia habari ya kuwa na ajira za mikataba wengi wanang'aka hawataki kusikia hilo na wanalipinga vikali.
Uzuri wa mabadiliko ya vitu Kama hivi sio Kama kibaka kwamba yatakuja ghafla in the night, Ipo siku.
 
Mikataba ni chanzo kizuri cha ufanisi kutokana na vifungu vya makubaliano vinavyowabind pande zote.

Sasa we upewe office ndani ya miaka mitano kwa lengo la kutimiza mradi fulani au kusimamia shughuli zenye kufikia shabaha fulani.

Ikitokea umeshindwa kufanikisha makubaliano na ikiwa ulipewa nyenzo zote za kiutendaji na bajeti ya kutosha kutimiza shughuli ya watu utapaswa kulipa fidia za watu kulingana na vifungu vya mkataba.

Hii imekaa powa sana habari ya kuingia ofisini kisign hasubuhi then unashinda JF unakula lunch mchana jioni unassign out unatoka bila kufanya kitu then mwisho wa mwezi income earned as usual.
Hii tabia itakomeshwa.
Exactly🤣
 
Kuna kada nyingine sio za kuongelea tu eti kwa sababu baba yako hana ajira

Madaktari bingwa wanapatikana kwa njia ngumu sana sio rahisi kuwastaafisha kwa miaka 10 tu kijana

thats wastage of precious materials

Mtaalam wa mionzi mfano yuko mmoja tu katika hospitali flani, umstaafishe ili iweje?

waalimu wa Sayansi hawatoshi kabisa huko katika idara za Elimu msingi na sekondari, bado uwastaafishe, ili iweje?

SERIKALI INAPASWA KUPAMBANA NA HILI TATIZO LA AJIRA KWA NAMNA YA TOFAUTI, sio hivi ulivyoandika
Huyo mwanzisha thread anaonyesha jinsi vijana wengi wa Tanzania walivyo hovyo kwa sababu elimu haijawasaidia. Na pia wanaongozwa na ubifsi mkubwa. Sasa hao watakaostaafu baada ya miaka 10 wataenda wapi? Kwanza hizo nafasi za ajira ziko ngapi? Badala ya ku push hii serikali zembe iliyojaa kila aina ya ufisadi na watu wanaokaa bure iwajibike wao wanafikiria jambo la kijinga kabisa.
 
Ukweli ndio huu, serikalini kila mtu anajivunia security ambayo ndio hio pensheni. Wala focus sio ku deliver wengi wanaenda makazini kwa sababu watalipwa mshahara mwisho wa mwezi na posho za katikati ya mwezi🤣 ndio maana ukiwaambia habari ya kuwa na ajira za mikataba wengi wanang'aka hawataki kusikia hilo na wanalipinga vikali.
Tatizo ni kuwa serikali ya CCM imeshindwa kuendesha nchi kwa sababu viongozi wake hawana hofu ya kushindwa uchaguzi. kishaona nchi ambayo kuanzia rais mpaka wabunge hawawaogopi wananchi na badala yake kila mtu anajitahidi kuwa chawa wa rais ambaye naye ni fisadi na mvivu basi jua kuwa mambo hayataenda.
 
Tatizo ni kuwa serikali ya CCM imeshindwa kuendesha nchi kwa sababu viongozi wake hawana hofu ya kushindwa uchaguzi. kishaona nchi ambayo kuanzia rais mpaka wabunge hawawaogopi wananchi na badala yake kila mtu anajitahidi kuwa chawa wa rais ambaye naye ni fisadi na mvivu basi jua kuwa mambo hayataenda.
Kabisa, hamna kitachoenda
 
pension funds haiwezi kuwa tatizo ufanye kazi kwa miaka mitatu mitano ishiri is the same thing hesabu ni ile ile tu kaka nishaliweka sawa hapo juu Mbona.
We dogo una ufinyu wa kufikiri
Unajua ni kwa nn serikali ilitunga sheria ya pension 2018 na fao la kujitoa
Kabla ya 2018 mtu aliyekuwa anafanya kaz private mkataba ukiisha anapewa hela zake zotee
Sasa hivi hupewi hadi ufikikishe miaka 60
Unavosema pension sio tatizo unafikir wewe ndiyo paymaster wa serikali unaweza kulipa wastaafu zaid ya 50,000 kila baada ya miaka kumi
Huoni tutakuwa na taifa la wastaafu vijana wengi sana ambao wangetakiwa wazalishe na kutoa huduma
 
tutafute njia bora zaidi za kuongeza nafasi za ajira
 
We dogo una ufinyu wa kufikiri
Unajua ni kwa nn serikali ilitunga sheria ya pension 2018 na fao la kujitoa
Kabla ya 2018 mtu aliyekuwa anafanya kaz private mkataba ukiisha anapewa hela zake zotee
Sasa hivi hupewi hadi ufikikishe miaka 60
Unavosema pension sio tatizo unafikir wewe ndiyo paymaster wa serikali unaweza kulipa wastaafu zaid ya 50,000 kila baada ya miaka kumi
Huoni tutakuwa na taifa la wastaafu vijana wengi sana ambao wangetakiwa wazalishe na kutoa huduma
We ni empty vessel kweli.
Watu kama nyie ndy Eid Amin alikuwa anawatupa mto kagera.
 
Yani mimi ningekuwa nimesha staafu miaka mingi?

Acha kabisa Serikali mgeikuta ni mifupa mitupu, yani miaka kumi watu wangejuwa wanarudi nyumbani na mizigo ya pesa, Maana najua baada ya miaka 10 sina ajira, Naenda wapi?

Mfuko wa mafao hakuna kitu, mikopo ya chuo sijamaliza, Nyumba sina, watoto hawajalipiwa ada, mimi na mke wangu ahtujala ,bado misaada ya ndugu. Duh mge tuua kwa stress.

Acheni tuzekee kazini, tukifa nanyi mtakuja mzekee humu.
 
We ni empty vessel kweli.
Watu kama nyie ndy Eid Amin alikuwa anawatupa mto kagera.
Hujui kitu
Huyo idi amin wako alikimbia nchi shaur ya mawazo mgando kama yako
Tatizo lako huna ajira na sasa hivi kuna interview duuuh hatariiii lazima ulie
Njoo huku private tule maisha
Huku private ni utendaji wako na ubunifu wako hakuna usumbufu
 
Hujui kitu
Huyo idi amin wako alikimbia nchi shaur ya mawazo mgando kama yako
Tatizo lako huna ajira na sasa hivi kuna interview duuuh hatariiii lazima ulie
Njoo huku private tule maisha
Huku private ni utendaji wako na ubunifu wako hakuna usumbufu
Haya bana umeshinda mkuu. Endelea Kula maisha mkuu.
 
Back
Top Bottom