mwidaddy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2022
- 357
- 658
We umetoka kazini saiv umeshika simu unatype vitu huelewi vilipoanzi.Kumbe nyie hamtaki kufanya kazi bali kugawana keki duuuh hatariiii Sana kwa akili hizi mtasota sanaa
Huku private unaliwa kichwa mapema sana
Yaan wewe unawaza kugawana keki
Unadandia SGR in front that’s kinda guts mamen.
Usiongee ilimradi uonekane unasauti na wewe sometimes jua vitu elewa tafuta fact ongea.
Acha ushamba wa kubishana hovyo.
Kuna uzi wa yanga huko kwenye forum ya sports nenda kapige soga zisizokuwa Na mipango.