Ajira Serikalini iwe miaka 10 tu, baada ya hapo watu wastaafishwe

Wazee wa kula keki
Nyie ndiyo mkiajiriwa mnatuibia wahuni wakubwa
Kule unafanya kazi kwa miongozo, sheria na kanuni zilizopo, huwezi kujipelekea ubunifu wako, si kampuni ya ukoo ile.
 
Wewe unafikir ukiajiriwa utaleta tija gani?
Kwanza wewe ni kilaza ungekuwa kipanga ungeshaajiriwa
Huku private hatuwataki vilaza kama nyie
Kweli ubunifu uko sekta binafsi na lazima uwe vizuri kichwani; huku kwingine unakuwa kama umefungiwa kwenye box, unafanya kazi kutokana na miongozo, kanuni, na sheria zilizopo. Ukitoka nje ya huo ulingo, utajieleza vizuri.​
 
vyote hivyo vinafilisi serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…