Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hy n ajira portal na sio tamisemi, tamisemi hawana hayo mambo, Kwan itakuwa mara yako ya ngap kuomba nafasi tamisemi.?Huyu alikosa kazi kwasababu haja verify vyeti Ajira portal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hy n ajira portal na sio tamisemi, tamisemi hawana hayo mambo, Kwan itakuwa mara yako ya ngap kuomba nafasi tamisemi.?Huyu alikosa kazi kwasababu haja verify vyeti Ajira portal
Dah sasa ku-certify c ndo muhuri wa Mwanasheria au.? Au ww unaelewa nn maana ya ku-certify na mhuri wa mwanasheria.?Ila kuna ku certify?
Kwaiyo una-apply cheti original tu..!? HayaDah sasa ku-certify c ndo muhuri wa Mwanasheria au.? Au ww unaelewa nn maana ya ku-certify na mhuri wa mwanasheria.?
Nini...!?Walimu bhana hahahah
Nimekuuliza maswali na wewe unaniuliza maswaliDah sasa ku-certify c ndo muhuri wa Mwanasheria au.? Au ww unaelewa nn maana ya ku-certify na mhuri wa mwanasheria.?
Jibu swali, Mbona unakimbia..!?Mtajuana wenyewe hukooooooooo
Nakuelewesha mara moja, ya pili baada ya hapo utaamua kufanya unavyojua wewe.Jibu swali, Mbona unakimbia..!?
SawaNakuelewesha mara moja, ya pili baada ya hapo utaamua kufanya unavyojua wewe.
Waelekeze bn mbona watu hawatak kufata maelekezo??....Hakuna mambo ya muhuri wa mwanasheria
Hiyo imetoka kichwan kwakoKwenye system zote za serikali lazima tu-upload vyeti vilivyo kuwa certified i.e Ajira Portal
Ajira portal sio Tamisemi acha uzembeHuyu alikosa kazi kwasababu haja verify vyeti Ajira portal
SawaAjira portal sio Tamisemi acha uzembe
Huyo dogo hajui kitu usisumbue akili yako..Hy n ajira portal na sio tamisemi, tamisemi hawana hayo mambo, Kwan itakuwa mara yako ya ngap kuomba nafasi tamisemi.?
Paleken kwa mwanasheria mpungue maana tupo wengi sana.Sawa
Sawa.Huyo dogo hajui kitu usisumbue akili yako..
Uzuri wa wanasheria wanachukua hy 10k yako wao wanatia mhuri tuu, kuhusu matumizi utajua mwnyw huko ht ukienda kutumia sehemu siyo.Paleken kwa mwanasheria mpungue maana tupo wengi sana.
Nzuri hiyo.Uzuri wa wanasheria wanachukua hy 10k yako wao wanatia mhuri tuu, kuhusu matumizi utajua mwnyw huko ht ukienda kutumia sehemu siyo.