DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 365
- 365
- Thread starter
- #41
Una Upload copies ambazo ni CertifiedKama ni copy Sawa, mwana sheria lazima a certify,
Ila kama original ata certify wapi sasa,? Kitu ambacho hakipo na haiwezekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una Upload copies ambazo ni CertifiedKama ni copy Sawa, mwana sheria lazima a certify,
Ila kama original ata certify wapi sasa,? Kitu ambacho hakipo na haiwezekani
Sioni umuhimu wa kuapload copy wakati original unayo. Ambayo unaweka mfumo wa PDF,Una Upload copies ambazo ni Certified
Sioni umuhimu wa kuapload copy wakati original unayo. Ambayo unaweka mfumo wa PDF,
Mbaga Jr umeshatuma maombi tayari?Hakuna mambo ya muhuri wa mwanasheria
Hakuna ulazima wakuthibitisha vyeti Kama unavyo original. Ila Kama una copy unatakiwa kuthibitishaKama ni copy Sawa, mwana sheria lazima a certify,
Ila kama original ata certify wapi sasa,? Kitu ambacho hakipo na haiwezekani
Hili ndio jibuSioni umuhimu wa kuapload copy wakati original unayo. Ambayo unaweka mfumo wa PDF,
Haya!Hili ndio jibu
Hapana, tamisemi huweki copy Unaweka original tuu.Hakuna ulazima wakuthibitisha vyeti Kama unavyo original. Ila Kama una copy unatakiwa kuthibitisha
Upo sahihi mkuu, ila tamisemi Unaweka OG tuu na sio copy.Kama ni copy Sawa, mwana sheria lazima a certify,
Ila kama original ata certify wapi sasa,? Kitu ambacho hakipo na haiwezekani
Hakuna kitu kama hicho .....scan vyeti na andika barua tupia,,,,,,,subiri mkekaHakikisha una upload vyeti ambavyo ni certified ( Vyeti vyenye muhuri wa Mwanasheria )
Cover Letter ( Barua yako ya maombi ) inakuwa na sahini yako chini/mwishoni mwa barua.
Yeah ni original tu.. Maana nimeona watu wamekomaa na muhuri ya wakili, mwanasheriaUpo sahihi mkuu, ila tamisemi Unaweka OG tuu na sio copy.
Ni mtandao tu, wait a moment itakua poa tu.Wakuu Kuna dogo namfanyia maombi, alishawahi kuomba hapo kabla pia, lakini Sasa nikiingiza username yake na password naandikiwa unauthorized user, tatizo litakuwa nn hapo? View attachment 2585687
Itakua umekosea password zingatia hilo na uhakika.Wakuu Kuna dogo namfanyia maombi, alishawahi kuomba hapo kabla pia, lakini Sasa nikiingiza username yake na password naandikiwa unauthorized user, tatizo litakuwa nn hapo? View attachment 2585687
Karibu Serikalini[emoji3555]View attachment 2585482
Uliona ukisoma ualimu saa hizi ungekuwa u NALIA NGWENA Kama sisiMm n camera operator sehemu flan hv, nmesoma diploma in film production. Ukipita mada zangu za 2018 utathibitisha.
Wakati na-apply chuo, ualimu maalum wa shule ya msingi niliweka mwisho kabisa kwenye awamu ya nne mana kwenye madirisha matatu yote walinikataa afu hy diploma in film production ilikuwa chaguo la kwanza.Uliona ukisoma ualimu saa hizi ungekuwa u NALIA NGWENA Kama sisi