Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
English ndio nzuri..!?😂Ukiweza andika. swanglish
Lugha ninayo itumia kufanya kazi ni ipi..!?Chapa barua mkuu
Tumia lugha Nyepesi
Nakutakia kila la Heri
NB:-
Tumia lugha utayoitumia kufanyia kazi asee kwa swali hilo ushafeli
Jaribu kurefresh.. System.Kwa nini nikijaza taarifa za chuo inanijubu "udefined"? Wakati taarifa nilizoweka ni sahihi?
Hata unachoomba Hujui [emoji1732][emoji3][emoji1787][emoji1783][emoji19][emoji19]Lugha ninayo itumia kufanya kazi ni ipi..!?
Una refresh vp mkuu?Jaribu kurefresh.. System.
Kwanini nisijue ninacho Omba..!?Hata unachoomba Hujui [emoji1732][emoji3][emoji1787][emoji1783][emoji19][emoji19]
Kuwa seriously atakam unaish kwa bab na mama
Bado inakusumbua..!?Una refresh vp mkuu?
Kupitia uzoefu wangu Mimi niliandika kwa mkono na lugha ya kiswahili na kazi nilipata1. Barua tuna andika kwa mkono au computer?
2. Barua inakuwa ya kiswahili au Kingereza?
Mwaka gani mkuu...!?Kupitia uzoefu wangu Mimi niliandika kwa mkono na lugha ya kiswahili na kazi nilipata
1. Typed "new times roman" au "Arial" preferable1. Barua tuna andika kwa mkono au computer?
2. Barua inakuwa ya kiswahili au Kingereza?
Kama ukipewa chance ya kuandika, wewe unatumia Lugha ipi..!?1. Typed "new times roman" au "Arial" preferable
2. Kiswahili au kingereza.
#YNWA
Tarehe 16 YANGA BINGWA.Kama ukipewa chance ya kuandika, wewe unatumia Lugha ipi..!?
Yanga hawezi Mfunga Simba!Tarehe 16 YANGA BINGWA.
#YNWA
Unadhani wanasoma barua moja moja?Kupitia uzoefu wangu Mimi niliandika kwa mkono na lugha ya kiswahili na kazi nilipata