Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Students(GPA 4.5+)will not stop attaching it[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikubali sema kuna kakitu nilikosea kidogo....Bado inakusumbua..!?
🤣🤣🤣.! Hao no lazimaStudents(GPA 4.5+)will not stop attaching it[emoji23]
SawaHakuna haja ya ku certify cheti original
Inagoma kila nikiandika course sasa sijafahamu wao tamisemi wanaitambua kwa jina gani zaidi ya hiloUnajaza kama ulivyo iandika hapo!
Ww unajikuta mbishi na kuelekeza watu kwa kuwapotosha kumbe na ww ni mgeni kabisa.Hivi hii barua una Ambatanisha sehemu gani...!? Kwenye sehemu ya barua ya maombi or..!?
[emoji23][emoji23][emoji23]ww ni bure kabisa hujui chochote lakini daahHakuna sehemu ya kuweka CV
Huu utaratibu mnautoa wapi?????????????????...... Tamisemi hakuna iyo habari.....scani vyeti original tuHakikisha una upload vyeti ambavyo ni certified ( Vyeti vyenye muhuri wa Mwanasheria )
Cover Letter ( Barua yako ya maombi ) inakuwa na sahini yako chini/mwishoni mwa barua.
Nimefanikiwa ndugu. Nadhani system ilikuwa busy sana.Jaribu kurefresh.. System.
Kama kawa kaka...NmeVicertify na Barua nmeSign kabisa..Nmechoka kuwa Jobless mzee[emoji3][emoji3]Mapema sana, hakuna kupoteza muda[emoji28], Vyeti vilikuwa certified kweli...!?
Hivi profile ili usome 100% inahitaji nn?Kwenye system zote za serikali lazima tu-upload vyeti vilivyo kuwa certified i.e Ajira Portal
Acha kudanganya watu .....Hakikisha una upload vyeti ambavyo ni certified ( Vyeti vyenye muhuri wa Mwanasheria )
Cover Letter ( Barua yako ya maombi ) inakuwa na sahini yako chini/mwishoni mwa barua.
kwann uweke copy wakati unascan original colouredGuys ni copy au original?? Kueni wakweli dakika za mwisho hizi
Mwaka jana walitoa tangazo sio lazima vyeti viwe signed na mwanasheriaHakikisha una upload vyeti ambavyo ni certified ( Vyeti vyenye muhuri wa Mwanasheria )
Cover Letter ( Barua yako ya maombi ) inakuwa na sahini yako chini/mwishoni mwa barua.