kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Wewe omba apoitment[emoji23][emoji23]wewe si unauza vipodozi kariakoo kausha damu?[emoji23]Kujeniii pressure [emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe omba apoitment[emoji23][emoji23]wewe si unauza vipodozi kariakoo kausha damu?[emoji23]Kujeniii pressure [emoji24][emoji24][emoji24]
Kabisa labda awe hajataka mi nlimaliza na rafiki yangu 2017 ajira ya kwanza 2018 kaajiriwa mie hadi leo bado nasugua benchi na sioni matumainiKama kuna walimu ni lulu hapa nchini ni walimu wa mathematics na physics asee ukiniambia upo mtaani na umesomea hayo masomo nitakushangaa
Inauma kwel mkuuMiaka 7 halafu ukose tena,ndo inauma,halafu wa 2022 unawaona kwenye mkeka kama wote,hapo ndo itauma zaidi.
Tuzidi kumuomba Mungu,sisi ambao tumemaliza chuo muda mrefu,tukumbukwe pia.Inatesa kisaikolojia sana.
Utapata mkuu ulipiga coz gani?2016 imekuwa muda
2016 kwa English watachukuliwa wachache sana wenye uhakika ni 2015.Mkuu kama wa 2015,2016 na una ENGLISH fua begi 2017,2018,2019,2020,2021,2022 unaphys fua beg pia
Hizo ajira ni special Kwa diploma na cheti. Kama wewe ni degree holder hesabu maumivu tu
Kwann wakat degree pia wanaitajika.Hizo ajira ni special Kwa diploma na cheti. Kama wewe ni degree holder hesabu maumivu tu
Serikali haiajiri walimu wa degree siku hizi maana haina uwezo wa kuwalipaKwann wakat degree pia wanaitajika.
Diploma ndo hao wanaoshushwa mwakani? Upande wa sekondari wataajiri degree wengi.Serikali haiajiri walimu wa degree siku hizi maana haina uwezo wa kuwalipa
Kipaumbele kikubwa huwa ni Physics Then inakuja Maths na sio Math sijui na Nini huko, Nawajua jama zangu kamaliza 2018 na kapata kitambo sana PH&MTMathematics na computer studies
Kama unamjua Mtu kasoma Pysics na Mathematic na hana ajira useme mkuu otherwise awe hajawahi omba tuHao hawakosi ajira kabisaa,??
Kumbe 2017,Kama unamjua Mtu kasoma Pysics na Mathematic na hana ajira useme mkuu otherwise awe hajawahi omba tu
2017 tunamaliza CoNAS hapo PH&MT wakikuwa 45 na Mwanamke alikuwa mmoja tu wengi walikuwa MT&CH, CH&BL au BL&GE, hao wa PH&MT hakuna hata mmoja yupo mtaani wa hao masomo yaliyobaki wengine wamepata mwaka jana wengine wachache sana wapo kitaa tu
Leta huyo wa 2020 PH&MT hana kazi mkuu!??Kumbe 2017,
Nikajua kuanzia 2020 had mwaka jana
Nawajuaa wapo wa 2, m1 yuko private anafundisha, mwingne yuko tyuuh na mishe zingne.Leta huyo wa 2020 PH&MT hana kazi mkuu!??
Kama huamini subiri siku majina yakitoka utaikumbuka kauli yanguDiploma ndo hao wanaoshushwa mwakani? Upande wa sekondari wataajiri degree wengi.
Sawa ofsaa wa TAMISEMI.Kama huamini subiri siku majina yakitoka utaikumbuka kauli yangu
Nyie ndo mnatakiwa sasa hivi.VIPI KUHUSU DIPLOMA YA MSINGI;
Mimi nimesoma diploma ya while za msingi kabla haijafutwa 2019 naweza kupata
Hakika mkuuMiaka 7 halafu ukose tena,ndo inauma,halafu wa 2022 unawaona kwenye mkeka kama wote,hapo ndo itauma zaidi.
Tuzidi kumuomba Mungu,sisi ambao tumemaliza chuo muda mrefu,tukumbukwe pia.Inatesa kisaikolojia sana.