Ajira za ualimu na Afya

Ajira za ualimu na Afya

Miaka 7 halafu ukose tena,ndo inauma,halafu wa 2022 unawaona kwenye mkeka kama wote,hapo ndo itauma zaidi.
Tuzidi kumuomba Mungu,sisi ambao tumemaliza chuo muda mrefu,tukumbukwe pia.Inatesa kisaikolojia sana.
Inauma kwel mkuu
 
Mathematics na computer studies
Kipaumbele kikubwa huwa ni Physics Then inakuja Maths na sio Math sijui na Nini huko, Nawajua jama zangu kamaliza 2018 na kapata kitambo sana PH&MT
 
Hao hawakosi ajira kabisaa,??
Kama unamjua Mtu kasoma Pysics na Mathematic na hana ajira useme mkuu otherwise awe hajawahi omba tu

2017 tunamaliza CoNAS hapo PH&MT wakikuwa 45 na Mwanamke alikuwa mmoja tu wengi walikuwa MT&CH, CH&BL au BL&GE, hao wa PH&MT hakuna hata mmoja yupo mtaani wa hao masomo yaliyobaki wengine wamepata mwaka jana wengine wachache sana wapo kitaa tu
 
Kama unamjua Mtu kasoma Pysics na Mathematic na hana ajira useme mkuu otherwise awe hajawahi omba tu

2017 tunamaliza CoNAS hapo PH&MT wakikuwa 45 na Mwanamke alikuwa mmoja tu wengi walikuwa MT&CH, CH&BL au BL&GE, hao wa PH&MT hakuna hata mmoja yupo mtaani wa hao masomo yaliyobaki wengine wamepata mwaka jana wengine wachache sana wapo kitaa tu
Kumbe 2017,
Nikajua kuanzia 2020 had mwaka jana
 
Miaka 7 halafu ukose tena,ndo inauma,halafu wa 2022 unawaona kwenye mkeka kama wote,hapo ndo itauma zaidi.
Tuzidi kumuomba Mungu,sisi ambao tumemaliza chuo muda mrefu,tukumbukwe pia.Inatesa kisaikolojia sana.
Hakika mkuu
 
Back
Top Bottom