Mkuu wahi nafasi watu wametoka Europe kuja kufanya kazi na msomali ww unakataa[emoji1787][emoji1787]Wala sihitaji hata lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wahi nafasi watu wametoka Europe kuja kufanya kazi na msomali ww unakataa[emoji1787][emoji1787]Wala sihitaji hata lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Operations za kazi zinazojenga nyumba 300 Dar, soon 100 Dodom, zote hizo hata Mangi Meli hajajawahi kufanya.Eti kazi za uhasibu hiv ww msomal koko unajua uhasibu wewe hizo operation zako hapo hata duka la Mangi linakuzid unataka uajir mhasibu....
Au ilimradi ututishe nawe umo si umpe huyo faizer akushikie hiyo hela![]()
![]()
Eti kazi za uhasibu hiv ww msomal koko unajua uhasibu wewe hizo operation zako hapo hata duka la Mangi linakuzid unataka uajir mhasibu....
Au ilimradi ututishe nawe umo si umpe huyo faizer akushikie hiyo hela![]()
![]()
Huna elimu wewe, ungekuwa na elimu ugahangaika kutafuta kazi? Jiuize.Mm kwel nilishafika apo kutokana na matangazo ya msomali apa nikajua bas ni ofcs kumbe ushuzi mtupu hv kwel na elimu yangu nikae na msomali uchwara apo si bora niende kwenye Duka la mangi atleast lina formalitiesView attachment 2130588
Hahahahahahaha, uongo mwingine ni wa kitoto, sasa hiyo ndio elimu uliyo nayo? Soma jina vizuri ujihakikishie kuwa shule ulienda kusomea ujinga.Mm kwel nilishafika apo kutokana na matangazo ya msomali apa nikajua bas ni ofcs kumbe ushuzi mtupu hv kwel na elimu yangu nikae na msomali uchwara apo si bora niende kwenye Duka la mangi atleast lina formalitiesView attachment 2130588
Ameeeen!!Huyo ujuwe alishindwa stndard za Abdul. Ile kichwa ni aina nyingine kabisa, haina longo longo wala chuki na binaadam yeyote. Akikuona hujui kazi anakwambia baki hapa ufundishwe, akikuona unajua kazi anakwambia baki hapa ufundishe.
Ukiwa huna kazi, hata kama kazi uitakayo hana kwake, akijua umechoka huna kitu, unapiga misele tafuta kazi, basi anakupa kazi yoyote ili pressure zikupungukie mpaka utapopata kazi. Yule ni mtu wa ajabu sana, sijapata kuona mfano wake. Ukienda kwenye site yake utakuta kina mama, kina dada, wazee, vijana, wengi wao ni wale ambao wameshakata tamaa ya maisha na hawana pa kuelekea.
Yaani, sijaona mwengine Tanzania anayoyafanya yule mzee, ni mtu anaetoa sadaka bila hata wewe anaekupa sadaka kujuwa kuwa unapewa sadaka.
Allah amzidishie Abdul Ghafur na mkewe maisha marefu, ni faraja kunbwa kuwa na watu kama wale duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sihitaji hiyo kazi, nenda wee unayetaka.Mkuu wahi nafasi watu wametoka Europe kuja kufanya kazi na msomali ww unakataa[emoji1787][emoji1787]
You are right.Eti kazi za uhasibu hiv ww msomal koko unajua uhasibu wewe hizo operation zako hapo hata duka la Mangi linakuzid unataka uajir mhasibu....
Au ilimradi ututishe nawe umo si umpe huyo faizer akushikie hiyo hela[emoji3][emoji3]
Mzungu kwako ni kitu cha ajabu, sijui umetokea pori gani wewe? Kwa Abdul utakutana na kila aina ya watu, waulize waliobahatika kuwa karibu nae wakueleze. Ile ngoma nzito, sio ya kitoto.Mkuu wahi nafasi watu wametoka Europe kuja kufanya kazi na msomali ww unakataa[emoji1787][emoji1787]
Safi sana. Umemuweza haswaa huyo poyoyo, kazi atake yeye, tena anaonesha huyo hana kazi na hajui aanzie wapi, iliyobaki akusukumie wewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sihitaji hiyo kazi, nenda wee unayetaka.
Basi ni PM mimi, nina nafasi zingine ambazo unahitaji.Wala sihitaji hata lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu..mambo?Safi sana. Umemuweza haswaa huyo poyoyo, kazi atake yeye, tena anaonesha huyo hana kazi na hajui aanzie wapi, iliyobaki akusukumie wewe.
Kakazana tu, mara "msomali, mara "mzungu", anabwabwaja hajui alisemalo.
Ananchekesha. Kwi kwi kwi teh teh teh.
Yan nimuukize mtu ambaye naona mbanga zake kila siku mm sio wakujaMzungu kwako ni kitu cha ajabu, sijui umetokea pori gani wewe? Kwa Abdul utakutana na kila aina ya watu, waulize waliobahatika kuwa karibu nae wakueleze. Ile ngoma nzito, sio ya kitoto.
Naona una hamu ya kumjua umekazana "msomali" "msomali", si ungemuuliza tu ulipokwenda?
Halafu unapenda kujichekesha ukishapewa hiyo kahawa na makuberi hapo basi unaona maisha ndo hayoSafi sana. Umemuweza haswaa huyo poyoyo, kazi atake yeye, tena anaonesha huyo hana kazi na hajui aanzie wapi, iliyobaki akusukumie wewe.
Kakazana tu, mara "msomali, mara "mzungu", anabwabwaja hajui alisemalo.
Ananchekesha. Kwi kwi kwi teh teh teh.
Nyie hizo kazi zenu chukueni vibarua wa hapo mtaani waje kufyetua tofaliSafi sana. Umemuweza haswaa huyo poyoyo, kazi atake yeye, tena anaonesha huyo hana kazi na hajui aanzie wapi, iliyobaki akusukumie wewe.
Kakazana tu, mara "msomali, mara "mzungu", anabwabwaja hajui alisemalo.
Ananchekesha. Kwi kwi kwi teh teh teh.
Huna jipya wewe.Nyie hizo kazi zenu chukueni vibarua wa hapo mtaani waje kufyetua tofali
Msitujazie jukwaa eti mnaajir mnauwezo nyie mnafikir kusumbua watu ni sifa
You are right.Nyie hizo kazi zenu chukueni vibarua wa hapo mtaani waje kufyetua tofali
Msitujazie jukwaa eti mnaajir mnauwezo nyie mnafikir kusumbua watu ni sifa