Ajira za Uhasibu (Accountant), Store Keeper na Personal Assistant

Ajira za Uhasibu (Accountant), Store Keeper na Personal Assistant

Asalaam Alaikum.

Fursa ya ajira.

Kuna nafasi za kazi za...

1) Mhasibu (Accountant).

2) Store Keeper.

3. Personal Assistant.

Anaeomba kazi awe ni mzoefu wa hiyo kazi na anafahamu kazi na sio wa kufundishwa kazi.

Kazi zetu kwa sasa zipo Mkoa wa Pwani, Kibaha, Misugusugu, Mtaa wa Vitendo.
Kwa maelezo zaidi Wasiliana na Abdul Ghafur: Whatsapp 0625249605
Tapeli
 
Ulitapeliwa nini?

Hapo sasa.
Siku hizi wanafanya hivyo, muulize Kalemani wamempiga sana baada ya kufukuzwa uwaziri, pamoja na ukuda wake ila matapeli wamemliza na ajira fake. Huyu mdau ndiyo hao hao.
 
Siku hizi wanafanya hivyo, muulize Kalemani wamempiga sana baada ya kufukuzwa uwaziri, pamoja na ukuda wake ila matapeli wamemliza na ajira fake. Huyu mdau ndiyo hao hao.
Umeusoma uzi au umekurupuka? Kuna ajira feki Madrassa?
 
Labda husomi izuri tu au ukisemacho hukielewi au ukisomacho hukipendi., ameandika mara chungu nzima rudia post za ke vizzuri. Hajaanza kuandika au kuandikwa habari zake humu JF leo wala jana. Yeye tunamsoma humu, mkewe " Bi Mrembo" tunamsoma humu na "udongo" wao wa tiba uliowasaidia na unaendelea kuwasaidia watu wengi sana.

Roho tu zinawauma, mzee wa Madrassatul Abraar anafanya mambo yake kitaalam.

Nimjuayo huyo ni mtu asiyekuwa na longo longo, ni ndio au hapana. Kama hujamuelewa utamuelewa tu na ukienda na porojo anakupa live, hakucheleweshi.

Badala ya kuuliza 3rd party, kwanini kama una lako humuulizi mwenyewe direct?

Au ni ndio wale wale? wa shule za kusomea ujinga?
Waache tu, hawana cha kukosoa inabidi wajaribu kuni attack mimi binafsi kwa kuni provoke. kwa kuwa hawaelewi wafanye nini zaidi, hawaa hoja, ni wakukubaliwa tu kila walisemalo. Waache wajifurahishe nafsi zao.
 
Waache tu, hawana cha kukosoa inabidi wajaribu kuni attack mimi binafsi kwa kuni provoke. kwa kuwa hawaelewi wafanye nini zaidi, hawaa hoja, ni wakukubaliwa tu kila walisemalo. Waache wajifurahishe nafsi zao.
Nimekuelewa sana tena sana.

Naomba ruksa iwatupie picha za unayoyafanya. Maana kama wakisoma hawaelewi basi hata picha hawatazielewa?
 
Alikuvutisha?

Duniani watu ndio kwanza wanaruhusu bangi, wewe eti "mafegi" yake yalikukwaza.

Ukwazike wewe, anaevuta yeye halafu umlaumu yeye? Hujionimkuwa u poyoyo? Labda ungesema alikulazimisha uvute fegi. Lakini, hola.

Waambie serikali basi wasiuze na wasitishe kilimo cha tumbaku. Abdul anachoma mafegi yake kwa raha zake, wewe yanakuhusu nini?

Halafilo la kusema "mkipishana Kidogo basi anakutoa". Hilo ni uongo mkubwa usio na mfano, hivi wewe haswaa, una nini cha "kupishana" na Abdul. Mwenyewe kila siku anasema yeye anawapenda zaidi wasijua ili apate kuwafundisha kwa vitendo na anawapenda wanajuwa ili wafundishe wengine. Sijawahi kusikia mtu kapishana nae, labda uwe umeshakaa kwake zaidi ya miezi sita halafu uwasaliti wanafunzi wake. Hapo atakuambia "straight foresrd" kwaheri. Lakini hiyo ya kwenda tu mara moja au mbili, atakupa ukweli tu, ambao kama huupendi ukweli, mwenyewe utatafuta pakutokea.

Wadanganye wasimjuwa.

Tena wewe labda ulienda hujamkuta katoka kula, maana akitoka kula tu, utamkuta na cigar na black cofee yake, sio "mafegI", anaipuliza taratiiibu kama Fidel Castro, huku anamezea na na kahawa yake. Tena ukimshangaa anakwambia" usishangae, ukija usiku utanikuta napiga Nduum". Utajaza mwenyewe.



Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Umeandika kwa kirefu lkn upupu mtupu... Huelew ata unacho ongea
 
Umeandika kwa kirefu lkn upupu mtupu... Huelew ata unacho ongea
Ndio lengo hilo, ukileta ujuba nakumwagia upupu. Ni vyema umelielewa hilo.

Wewe hata kuandika hujui halafu unataka kushindana na wazee wa Madrassa!

Unanchekesha.
 
Ndio lengo hilo, ukileta ujuba nakumwagia upupu. Ni vyema umelielewa hilo.

Unanchekesha.
Hiyo ofc yenu haina hadhi kuweka bango kutafuta watu eti tena wenye expeirence tafuten house girl muwape hizo kazi
Mnatutangazia ili tujue nayie mna ofc kumbe mavi matupu
 
Asalaam Alaikum.

Fursa ya ajira.

Kuna nafasi za kazi za...

1) Mhasibu (Accountant).

2) Store Keeper.

3. Personal Assistant.

Anaeomba kazi awe ni mzoefu wa hiyo kazi na anafahamu kazi na sio wa kufundishwa kazi.

Kazi zetu kwa sasa zipo Mkoa wa Pwani, Kibaha, Misugusugu, Mtaa wa Vitendo.
Kwa maelezo zaidi Wasiliana na Abdul Ghafur: Whatsapp 0625249605
Eti kazi za uhasibu hiv ww msomal koko unajua uhasibu wewe hizo operation zako hapo hata duka la Mangi linakuzid unataka uajir mhasibu....
Au ilimradi ututishe nawe umo si umpe huyo faizer akushikie hiyo hela[emoji3][emoji3]
 
Hiyo ofc yenu haina hadhi kuweka bango kutafuta watu eti tena wenye expeirence tafuten house girl muwape hizo kazi
Mnatutangazia ili tujue nayie mna ofc kumbe mavi matupu
Kuna watu kule wametoka Europe itakua kinyangarakata kama wewe usieelewa hata kuandika.

Wewe nilikwambia hapo juu, hata u house boy wa Abdul huuwezi. Upo zero kabisa.
 
Wewe ni kipoyoyo kimoja kinachong'ang'ania kuusukuma mbuyu na kuishia kutingisha makalio tu. Huku jasho linakutoka unajidanya kuwa mbuyu umesogea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu kule wametoka Europe itakua kinyangarakata kama wewe usieelewa hata kuandika.

Wewe nilikwambia hapo juu, hata u house boy wa Abdul huuwezi. Upo zero kabisa.
Mm kwel nilishafika apo kutokana na matangazo ya msomali apa nikajua bas ni ofcs kumbe ushuzi mtupu hv kwel na elimu yangu nikae na msomali uchwara apo si bora niende kwenye Duka la mangi atleast lina formalities
Screenshot_20220225-104511_1.jpg
 
Back
Top Bottom