Abdul Ghafur
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 610
- 749
- Thread starter
- #61
You are right.Duh..ila mkuu,unaonekana una majivuno sana.nisamehe kama ntakua nimekukwaza kwa kukuambia ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are right.Duh..ila mkuu,unaonekana una majivuno sana.nisamehe kama ntakua nimekukwaza kwa kukuambia ukweli.
You are right. Lakini umekosea kidogo, tupo mbali na shule isipokua kufika kwetu njia mojawapo ni ya kuingilia shule ya msingi Misugusugu. Zipo na nyingine, unaweza kuingilia Kilimahewa, unaweza kungilia Check point, unaweza kuingilia kwa Sharrifu. Nikuongeze njia za kufika Madrassatul Abraar?ANGALIZO : Huyu mtu ni TAPELI yeye na genge lake wako pale jirani na shule ya msingi Misugusu! Najuta!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Duh! Kama ulikuwepo! Tena ni crossbreed ya chawa na kunguni kabisa,ukimtumbua ananuka.Personal assistant ni chawa 😀😀
You are right.Ana majivuno halafu hamna kitu
Angekua na ofis nzur uyu angetoa watu roho hayo mabanda lkn anvyoongea kwa nyodo [emoji3][emoji3]
Tunaitwa Madrassatul Abraar.Kuna cha ajira hapo kweli mkuu au chenga tu?
Ok, hapa umefafanua.Lazima unishangae sana, kwa sababu mawazo yako na mawazo yangu ni tofauti, muono wako na muono wangu ni tofauti. Badala ya kunishangaa niulize kwanini sihitaji CV za watu. Kuhusu CV, kuna uwezekano mkubwa maana ya CV uijuavyo wewe na niijuavyo mimi tunatofautiana, kwa kuwa hata herufi CV ni kifupisho cha maneno ya lugha za kigeni. Nijuavyo mimi maana ya "CV" ni utambulisho wako binafsi, kama ulivyouandika au kuandikiwa. Utambulisho wetu tunaufanya kwa kutambuana ana kwa ana. Uzoefu wa kazi huonekana ufanyapo kiazi, kwetu kuna "orientation" ya wiki mbili itayotudhirishia uzoefu wako wa kazi. CV sio uzoefu wa kazi.
Uzoefu wetu umetufundisha kuwa wengi wanaandikiwa CV na hawaandiki wenyewe na wengi hawaelewi hata kilichoandikwa humo ni nini.
Ngoja nikupe kisa kimoja cha CV kati ya vingi nilivyonavyo; Kuna kijana alikuja kwetu na kitu cha kwanza kanipa bahasha, nikamuuliza ina nini? akanambia CV na kopi za vyeti vyangu, nikamwambia baki na bahasha yako, nipe CV tu, akanitolea CV ina page 3. Nikaipitia haraka haraka, nikakutana na kipengele kinachosema kuwa yeye ni mwanamichezo na anapenda sana kucheza mpira wa kikapu (basket ball) na amekua kwenye mchezo huo kuanzia shule ya msingi. Nikaona safi sana, hapa tumepata kijana ataetufundishia vijana wengine kucheza mpira wa kikapu. Bahati, hapa kwetu tulikua na mpira wa kikapu kati ya vifaa vingi vya michezo tulivyo navyo kwa ajili ya watoto, wanafunzi wetu wa madarasa ya Qur'an. Tukampa mpira tukamwambia tuoneshe uwezo kidogo hapo uwanjani. Akabaki anatutazama kama mjusi anavizia nzi ukutani. Nikamuuliza, vipi, tuoneshe mambo. Akasema yeye aliikopi tu cv na kubadili jina na mambo mengine, hilo la mpira wa kikapu lilimpita.
Mambo kama hayo na mengine mengi yametufanya tusiulize cv ya mtu ya maandishi mpaka awe kamaliza orientation ya wiki mbili na sisi, na ndani ya hizo wiki mbili, kama itahitajika, huwa tunamuelekeza namna ya kuipangilia CV yake kwa namna ya sisi tuwekavyo kumbukumbu zake kwenye files zetu za kielektroniki.
Ungefafanua kabisa shida ni nini, 1)hizo kazi anazosema hakuna? 2) hawalipi? au tatizo ni nini?Nilishawahi ingia chaka nikafika bana kwa uyu mzee nilijuta kwanza mazingira ya kihuni sanaa
Anakufanyia interview uku anakula fegi balaa....
Kwel kazi tunatafuta lkn nilijikuta nataka kuaga mwenyewe[emoji3]
Ana majivuno halafu hamna kitu
Angekua na ofis nzur uyu angetoa watu roho hayo mabanda lkn anvyoongea kwa nyodo [emoji3][emoji3]
Watoto wanafundishwa "Imani Kali" na media. Siyo Madrassa.Ok, hapa umefafanua.
Mwanzo ulisema tu kuwa ni nafasi za kazi, ulipaswa kusema kuwa ni taasisi ya dini, kuna wengine hataki kufanya kazi na taasisi za dini, hivyo ungewapotezea muda wao kutuma maombi.
Kila la kheri, lakini msije mkafundisha watoto imani kali, extremism sio kitu kizuri.
Weka picha za office yako mkuuHahahaha. Imekuja umeshindwa hata kutambua kuwa umekuja construction site?
Inabidi nicheke Tu. Ulitegemea ukute office aina ipi kijana?
Njoo upige picha. Usiwe na Shaka.Weka picha za office yako mkuu
Ni kwel mafegi yalinikwaza sanaaUngefafanua kabisa shida ni nini, 1)hizo kazi anazosema hakuna? 2) hawalipi? au tatizo ni nini?
Au kilichokukera wewe ni mafegi tu?
Huyo anavyoonekana hawezi kudumu na mfanyakazi anaejielewa hata dakika moja.Ni kwel mafeg yalinikwaza sanaa
Ila sio official office kama anavyotangaza apa ata kama atakuajir inawezekana ikawa kakuajir kama housegirl ni sehem ambayo hamna mfumo wowote ... Hapo anapokuambia mnafanya orietation week hapo ndo anapokufukuza kwan
1. Jamaa ni mjuaji balaa kila kitu anajua halafu halafu apo yy sio kila kitu kuna mfadhil msomali mwenziwe yupo njee yy ndo ana support
2. Mshikaj ana Gubu balaa kias kwamba mkipishana kidogo anakutoa
Halafu anavyoongea kama na fustrustion hiv
Sidhani kama ashajiri mfanyakaz akadum hata mwaka mmoja
You are right.Huyo anavyoonekana hawezi kudumu na mfanyakazi anaejielewa hata dakika moja.
You are right.Ni kwel mafeg yalinikwaza sanaa
Ila sio official office kama anavyotangaza apa ata kama atakuajir inawezekana ikawa kakuajir kama housegirl ni sehem ambayo hamna mfumo wowote ... Hapo anapokuambia mnafanya orietation week hapo ndo anapokufukuza kwan
1. Jamaa ni mjuaji balaa kila kitu anajua halafu halafu apo yy sio kila kitu kuna mfadhil msomali mwenziwe yupo njee yy ndo ana support
2. Mshikaj ana Gubu balaa kias kwamba mkipishana kidogo anakutoa
Halafu anavyoongea kama na fustrustion hiv
Sidhani kama ashajiri mfanyakaz akadum hata mwaka mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tapeli huyu
Juzi nilimcheck nikamtumia cv yangu ya kazi ya uhasibu,akaniomba laki 1 ili tu eti anipe kazi..nikamwambia simpi hata mia mbovu.akaniblock.
Kuweni makini sana na huyu mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nafasi zipo.
Kwetu hakuna utaratibu wa kutuma maombi, tunaamini anaeombwa ni Mwenyezi mungu tu. Tuwasilianee whatsapp 0625249605.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mimi alishaniingiza chaka nilienda siku moja nafikir mwaka jana nilijua kwel ni taasis lkn nilifika jamaa yupo ome pembeni ndo kuna magofu ya hiyo taasisi
Jamaa anatokea chumban na ma fegi anakuhoji kwa dharau sanaa utafikir amepak gar apo njee
An sikushaur ata kama hiyo taasis itakua inafanya kazi huyu msomali ni kanjanja tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungefafanua kabisa shida ni nini, 1)hizo kazi anazosema hakuna? 2) hawalipi? au tatizo ni nini?
Au kilichokukera wewe ni mafegi tu?
Kuua kwa kutaka pesa sio imani kali, huo ni uhalifu tu.Watoto wanafundishwa "Imani Kali" na media. Siyo Madrassa.
Vipi Yule aliyemuua mama'ke Kaskazini huko kwa kutaka pesa? Alifundishwa na nani? Au ile sio "Imani Kali"?