Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Personal assistant ni chawa 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishawahi ingia chaka nikafika bana kwa uyu mzee nilijuta kwanza mazingira ya kihuni sanaaAsalaam Alaikum.
Fursa ya ajira.
Kuna nafasi za kazi za...
1) Mhasibu (Accountant).
2) Store Keeper.
3. Personal Assistant.
Anaeomba kazi awe ni mzoefu wa hiyo kazi na anafahamu kazi na sio wa kufundishwa kazi.
Kazi zetu kwa sasa zipo Mkoa wa Pwani, Kibaha, Misugusugu, Mtaa wa Vitendo.
Kwa maelezo zaidi Wasiliana na Abdul Ghafur: Whatsapp 0625249605
Nafasi zipo.Hello nafasi bado zipo nataka kutuma maombi
Ni muono wako tu. Being natural and real. Au ulitaka ukija nivae suit na tie? Nianze ku act?Nilishawahi ingia chaka nikafika bana kwa uyu mzee nilijuta kwanza mazingira ya kihuni sanaa
Anakufanyia interview uku anakula fegi balaa....
Kwel kazi tunatafuta lkn nilijikuta nataka kuaga mwenyewe[emoji3]
Ni kwel tabia ya mtu hua mara nyingi inasadifu yaliyomo kama ww ndo mzimamiz wa hiyo taasisi ya diniNi muono wako tu. Being natural and real. Au ulitaka ukija nivae suit na tie? Nianze ku act?
Kinachotazamwa ni kazi ya mtu, sio dini ya mtu. Wewe una dini yako nami nina dini yangu na wengine hawana dini kabisa.Na mnachukua wakristo kweli,maana naona ni taasisi yenye jina la kiislamu?
Kama unamfahamu sio tapeli basi hawezi kabisa kujieleza, tangazo liko hovyo mno. Awaachie watu wanaoweza kujieleza
You are right.Ni kwel tabia ya mtu hua mara nyingi inasadifu yaliyomo kama ww ndo mzimamiz wa hiyo taasisi ya dini
Unashindwa tu kujali afya ya mtu sijazungumzia suala la kuvaa
Mazingira ni ya kihuni matusi kila kona kama chimbo la wana
Yap jitahid uwe na ethic kidogo sio uawaita watu wanatoka mbali anakuja anakuta upuuzi upuzi tuYou are right.
You are right.Yap jitahid uwe na ethic kidogo sio uawaita watu wanatoka mbali anakuja anakuta upuuzi upuzi tu
Halafu mtu mwenyewe unajifanya mjuaji kwel
Duh..ila mkuu,unaonekana una majivuno sana, nisamehe kama ntakua nimekukwaza kwa kukuambia ukweli.Ni muono wako tu. Being natural and real. Au ulitaka ukija nivae suit na tie? Nianze ku act?
Funguka vizuri mkuuANGALIZO : Huyu mtu ni TAPELI yeye na genge lake wako pale jirani na shule ya msingi Misugusu! Najuta!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ametapelije?ANGALIZO : Huyu mtu ni TAPELI yeye na genge lake wako pale jirani na shule ya msingi Misugusu! Najuta!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ana majivuno halafu hamna kituDuh..ila mkuu,unaonekana una majivuno sana.nisamehe kama ntakua nimekukwaza kwa kukuambia ukweli.
Kuna cha ajira hapo kweli mkuu au chenga tu?Ana majivuno halafu hamna kitu
Angekua na ofis nzur uyu angetoa watu roho hayo mabanda lkn anvyoongea kwa nyodo [emoji3][emoji3]
Mkuu mimi alishaniingiza chaka nilienda siku moja nafikir mwaka jana nilijua kwel ni taasis lkn nilifika jamaa yupo ome pembeni ndo kuna magofu ya hiyo taasisiKuna cha ajira hapo kweli mkuu au chenga tu?
Ha ha haMkuu mimi alishaniingiza chaka nilienda siku moja nafikir mwaka jana nilijua kwel ni taasis lkn nilifika jamaa yupo ome pembeni ndo kuna magofu ya hiyo taasisi
Jamaa anatokea chumban na ma fegi anakuhoji kwa dharau sanaa utafikir amepak gar apo njee
An sikushaur ata kama hiyo taasis itakua inafanya kazi huyu msomali ni kanjanja tu
Uzur mkuu mimi sisemi uongoo naongea nilichokiona " Kwa mtizamo wangu ww ni Msomali "KANJANJA"You are right.
Ni heri nikuone right tu, maana nikianza kubishana "kinyagu" nami ntakua "kinyago".
Have a nice day.
You are right.Uzur mkuu mimi sisemi uongoo naongea nilichokiona " Kwa mtizamo wangu ww ni Msomali "KANJANJA"