reg edit
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 402
- 499
Nilishacomment kwenye post fulani hii ishu, hivi serikali inafikiri wahitimu wote wakiamua kujitolea hizo shule zitatosha?
Hiki ni kichaka cha rushwa full stop!
Kwasababu mwisho wa siku hata kujitolea kutakua ni dili (mpaka uhonge ndio upate na huku unafanya kazi bure).
Kujitolea kisiwe kigezo, serikali iache kupenda mtelezo kuwafanyisha watu kazi bila ujira.
Kama wahitimu ni wengi wawafanyishe interview basi. Mwenye uwezo ashinde.
Narudia tena, kujitolea ni rushwa. Na TAKUKURU walitakiwa wawe walishanusa hili mapema ila wapo wapo tu.
Hiki ni kichaka cha rushwa full stop!
Kwasababu mwisho wa siku hata kujitolea kutakua ni dili (mpaka uhonge ndio upate na huku unafanya kazi bure).
Kujitolea kisiwe kigezo, serikali iache kupenda mtelezo kuwafanyisha watu kazi bila ujira.
Kama wahitimu ni wengi wawafanyishe interview basi. Mwenye uwezo ashinde.
Narudia tena, kujitolea ni rushwa. Na TAKUKURU walitakiwa wawe walishanusa hili mapema ila wapo wapo tu.