tumia akili mtoa maada shule nyingi zinazopokea wanafunzi wenye mahitaji maalumu i.e walemavu zipo mjini na ndio maana mijitu mingi ya sekuco imepangwa mjini
secomu ni kitu gani?
Mkuu umetupwa wapi?
Wewe ndio kid usiyeijua lugha ya malkia...
hapo hukupaswa kutumia 'your' ulipaswa kusema ' you are kid'
Kama hata hivi vidogo vinakushinda vikubwa utaweza? Kujitapa kama watoto kichwani empty set...
You are too low!!!!
Kuna tofauti kati ya mada na maada......
Hii sio maada ni mada....
You are too low!!!!
umepangiwaa wapi mwalimu naona povu linakutoka
hope from TEKU
nadhani communication skills ulikimbia chuoni
kwa hiyo mkuu hiyo mijitu imeenda kufundisha mijitu pia??tumia akili mtoa maada shule nyingi zinazopokea wanafunzi wenye mahitaji maalumu i.e walemavu zipo mjini na ndio maana mijitu mingi ya sekuco imepangwa mjini
kwa hiyo mkuu hiyo mijitu imeenda kufundisha mijitu pia??
hivi kwanini udsm mnaiona kama roho flani hivi ambayo bila hiyo taifa lisingekuwepo?
hivi unajua mwaka 1986 hali ya UDSM ilikuwa kama shule za kata uzionazo sasa??
its just the matter of transition, transformation and furthermore...
sasa tunahitaji wasomi wenye mabadiliko chanya kwenye jamii, sio wapiga domo na wavaa surualia 50% of their bu..tocks!!!
shame on us TANZANIA students!!
Wewe ndio kid usiyeijua lugha ya malkia...
hapo hukupaswa kutumia 'your' ulipaswa kusema ' you are kid'
Kama hata hivi vidogo vinakushinda vikubwa utaweza? Kujitapa kama watoto kichwani empty set...
You are too low!!!!
safi sana mkuu mijitu mishamba kweli usiangalie chuo angalia elimu uliyopata inakusaidiaje au unaitumiaje kwa maisha yako
kwa kweli mkuu, university of dar es salaam, surely ni chuo kikubwa sana ambacho kinatakiwa kiwe na impact kubwa sana katika taifa hili kwa kutoa watu wenye mawazo na matendo endelevu yenye msaada kwa jamii yetu na hata ya nje pia..
lakini toka kizazi hiki kiingie, watu wamekuwa na mambo ya ajabu kweli kweli..
kuanzia udom, udsm, muccobs, saut na vyuo vingine, intellectuals na experts hawa wamekuwa waongeaji na wapondanaji tu mitandaoni...
hakuna jambo la maana hasa wanalofanya zaidi ya kutupiana maneno ya kwenye khanga tu..
UDSM imebaki majengo tu...! wengi wa waliomo, wamekuwa wakiangalia wengine na kuwasengenya tuuu kila siku!
sasa kama wewe uko UDSM tayari, fanya basi kitu cha tofauti tukuone uko different na yule wa SUA ama SAUT!!!!!!!
KELELE NYIINGI! KWANI TUNAIMBA TAARABU VYUONI JAMANI!!!
Wewe ndio kid usiyeijua lugha ya malkia...
hapo hukupaswa kutumia 'your' ulipaswa kusema ' you are kid'
Kama hata hivi vidogo vinakushinda vikubwa utaweza? Kujitapa kama watoto kichwani empty set...
You are too low!!!!
nina mashaka na uelewa wako na uwezo kufikir wa akili yako. ivi ud kuna ualimu tu? udsm ingekua ina kozi zote vyuo vingne vingefundisha nn? unadhan iyo bachelor ya special needs apo sekuco ud imeshindwa kutolewa, ni mpanglio tu wa chuo. jiulize waliomaliza uchumi, law, uhandisi, geology na koz zingne nying kutoka udsm wameajiriwa wapi? au unaongea tu kwa vile post za ualimu zinaonekana kwa watu wengi na ndipo ulipowaona watu wa udsm? pia inatakiwa ujue kua shule nying zenye mahitaj maalum zipo mijin na pia
Wewe ndio kid usiyeijua lugha ya malkia...
hapo hukupaswa kutumia 'your' ulipaswa kusema ' you are kid'
Kama hata hivi vidogo vinakushinda vikubwa utaweza? Kujitapa kama watoto kichwani empty set...
You are too low!!!!
Wewe ndio kid usiyeijua lugha ya malkia...
hapo hukupaswa kutumia 'your' ulipaswa kusema ' you are kid'
Kama hata hivi vidogo vinakushinda vikubwa utaweza? Kujitapa kama watoto kichwani empty set...
You are too low!!!!