Darius
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,951
- 320
Njoo foreign affairs idara ya Asia utanipata usifikiri kila mtu fukara kama wewe unaesoma kitu usichokuwa na uwezo nacho..
Katu sidharau walimu coz wenye level ya degree nalingana nao mshahara kazi kwenu wenye njaa na masikini mnaolia wivu kuona wenzenu wanaingia kwenye ajira..
Siku zote mtu mwenye uwezo hana muda wa kubishania vitu visivyo na msingi wala tija isipokuwa mafukara kama nyie mnaobwaka hovyo wakati wenzenu wenye degree za OUT za kununua tu mbali ya kusoma ndio wabunge..mawaziri...wakurugenzi na hata hapa wamejaa kibao wengine kwenye balozi huko nje we mtoto wa fukara na UDSM yako utaishia kulima njugu kwenu liwale..
Poor you!!!
mfagiajii wewe ...!