Ajira za Walimu wapya ngoma droo hakuna cha UDSM wala SEKOMU

Status
Not open for further replies.
hope umeelewa secretary

Tumeshakugundua huna lolote...

Nimekupa ofa njoo foreign affairs idara ya Asia ntakupokea halafu urudi hapa useme ni mfagizi..secretary au nani...

Kwa taarifa yako sijasoma hivyo vyuo unavyotambia ambavyo vinakukataa kwa jinsi ulivyo mbovu na mchovu ktk uandishi wa maneno ya kiingereza mepesi kabisa....

Kufeli form four kusikufanye uwe hater jipange utatoka tu..
 

nije kufanya nini secretary .....?
 
Uje uone watoto wa TEKU wanavyokula maisha

by the way nishakusomaa hupendagi kushindwa kuna thread kule MMU umekimbizwa na Nyani ghabu ukakimblia ooooh wabeba box mara sibishani na mafukaraaaaa

kubwa jingaaa
 
Last edited by a moderator:
by the way nishakusomaa hupendagi kushindwa kuna thread kule MMU umekimbizwa na Nyani ghabu ukakimblia ooooh wabeba box mara sibishani na mafukaraaaaa

kubwa jingaaa

Jibu hoja acha viroja nipo hapa kurekebisha wabovu kama wewe
 
Last edited by a moderator:


mkuu achana na hawa watoto.... UDSM ya sasa inafuga matangopori tu...!!!
 

After all sidhani kama walimu wanafanyiwa usaili ili kuajiriwa serikalini. Hivyo si rahisi kujua uwezo wao na pia course waliyosoma iko chuoni kwao tu. Huyu jamaa mwenye thread ana hasira tu ya kudharauliwa.
 
mkuu achana na hawa watoto.... UDSM ya sasa inafuga matangopori tu...!!!

Mkuu huyo hata chuo hajafika maana angekua kafika chuo asingeandika anachoandikaga...
 
Dogo unadhani mimi ni wa kuajiriwa leo, Mie nilisoma miaka ile CHUO KIKUU kipo kimoja tu bongo hii, hivi nakaribia kustaafu.

St. John nayo ni ya miaka ile???? Lol
 
napendekeza vyuo vya private kama SEKOMU(vilaza sugu),TUMAINI,SAUT,ST.JOHN , walimu wake wafanye interview ili kuwachuja
 
Utaonekana bora kama una uwezo wa kubadili maarifa uliyopata huko chuoni kwako katika vitendo na ukapata manufaa na kunufaisha jamii husika. Kinyume na hapo mtaendelea kujivunia historia ya vyuo vyenu mlivyosoma huku hata wasiosoma wanawashangaa "hivi eti huyu naye kamaliza chuo kikuu!"
na historia hiyo haitafanya kazi wala kukusaidia. Napenda msemo flani wa media flani "It's the content that counts"
 
Wewe ndio kid usiyeijua lugha ya malkia...

hapo hukupaswa kutumia 'your' ulipaswa kusema ' you are kid'

Kama hata hivi vidogo vinakushinda vikubwa utaweza? Kujitapa kama watoto kichwani empty set...

You are too low!!!!

Du! noma thanaaa!
 

daah ungempotezea tu mkuu, wewe mwenyewe si unaona sio saizi yako huyo.
 
Last edited by a moderator:
utakaporipoti huko kasulu ulikopangiwa na wa SEKOMU anaripoti Pugu,B.W.Mkapa ndio utapata jiobu mujarabu!

Mi naona sawa tu, wa mjini aende shamba na mshamba aje mjini...au vipi?
 
daah ungempotezea tu mkuu, wewe mwenyewe si unaona sio saizi yako huyo.

Tatizo anajifanya mjuaji kumbe bomu tu hivi mwanafunzi wa university anaweza andika hivyo kweli?
 
Tatizo anajifanya mjuaji kumbe bomu tu hivi mwanafunzi wa university anaweza andika hivyo kweli?

nimeshangaa sana, maneno ya kawaida tu yanamsumbua kuandika mtu wa chuo kikuu, na ndio maana nikajua tu sio levels zako huyo kichwani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…