KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hata Ronaldo na Messi ambao ni wachezaji bora duniani pia wana makocha wa kuwafundisha, hvy mtu huwez kuwa bora kila mahali na sio kila kitu kipo kwa ajili yako hata kama una uwezo nacho.
Mm naamini haikuwa bahati yake tuu na sio kwamba hakuwa na uwezo.
Ndio atulie aache kelele sasa
 
Huyu mwalimu ni mwehu. Sasa wehu kama hawa waje watufundishie watoto zetu?.. kwanza linaonekana zero kichwani.
Wanufaika wa mfumo mbovu utawajua tu Kwa comments zao. Ma CCM mna roho mbaya nyie.
 
Jaman Kwa Hali hii Bora serikali irudishe ajira za ualimu KULE TAMISEMI ki ukweli huku kwenye interview tunakomoana hebu fikiria maswali haya kwenye GEOGRAPHY IIIC

Miaka kumi imepita leo naulizwa cognitive dissonance, halo effect, erickson's stages of psychological development, the goal of concealing theory, primary goal of existentialist education, the key principle of differentiated instruction......nakumbuka wapi miaka kumi imepita

Mama yetu Samia tuonee HURUMA turudishen TAMISEMI
Pole mkuu ....

Jiandae vizuri wakati mwingine..
 
Back
Top Bottom