Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wanaosimamia usaili wa walimu ndio wale niliowaona jana basi sijaona uzito wa rushwa ku penetrate.Ahira portal ilikuwa ili kuondoa urasimu. Tamisem ilikuwa penetrated na wala rushwa sana
Da hata kadi ya ccm Sina we endelea kuwaza hivyo hivyoInaonekana wewe ni miongoni mwa wanufaika wa mfumo mbovu wa CCM.
Hata Ronaldo na Messi ambao ni wachezaji bora duniani pia wana makocha wa kuwafundisha, hvy mtu huwez kuwa bora kila mahali na sio kila kitu kipo kwa ajili yako hata kama una uwezo nacho.imagine mwl huko private wana mwaminia kishenzi ni kichwa halafu kaenda usail wa psprs kapata 30 kwenye interview
Watu wana hasira mpaka wameanza kuingilia mambo ya kifamilia za watu 😂Fita ni fita mulaa wallimu hawataki usail
oya!Jaman Kwa Hali hii Bora serikali irudishe ajira za ualimu KULE TAMISEMI ki ukweli huku kwenye interview tunakomoana hebu fikiria maswali haya kwenye GEOGRAPHY IIIC
Miaka kumi imepita leo naulizwa cognitive dissonance, halo effect, erickson's stages of psychological development, the goal of concealing theory, primary goal of existentialist education, the key principle of differentiated instruction......nakumbuka wapi miaka kumi imepita
Mama yetu Samia tuonee HURUMA turudishen TAMISEMI
Wewe endelea kulialia na kulalamika.Pole Sana kama taifa mnapanga kuliokoa Kwa style hii.
Ni kupambana tu hivyo hivyo hakuna namnaNdio wanavyofanya sasa hivi.
🤓🤓🤓. Wazee wa kushusha sukari (utumishi)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa kama kadi tu huna. Mifumo mibovu ya Ma CCM unaitetea ya Nini?? Watu wameshindwa kung'amua tatizo la ajira ila wanataka kuhalalisha kukosa ajira Kwa yeyote ni Kwa sababu amefail interview. Serikali ya mashetani kabisa hii kama mashetani mengine tu yalivyo.Da hata kadi ya ccm Sina we endelea kuwaza hivyo hivyo
ShukraniWw huna akili, yn unalalamikia vitu ambavyo huvijui
Kama uko na nafasi serikalini basi tunaongozwa na vilaza aise.Wewe endelea kulialia na kulalamika.
Wenzako waliojiandaa wanaendelea kupangiwa vituo vya kazi.
Subiri binadamu mwenzako aje akuwekee mazingira safi ya wewe kupata kazi kirahisi mtoto mzuri.
Kwan mambo ya kufeli usaili yameanzia kwa waalimu? Umekuwa wapi kuongea hayo mpaka sasa kwa waalimu?Sasa kama kadi tu huna. Mifumo mibovu ya Ma CCM unaitetea ya Nini?? Watu wameshindwa kung'amua tatizo la ajira ila wanataka kuhalalisha kukosa ajira Kwa yeyote ni Kwa sababu amefail interview. Serikali ya mashetani kabisa hii kama mashetani mengine tu yalivyo.
Mwalimu unapata ZERO kwenye usaili halafu unaita watu vilaza.Kama uko na nafasi serikalini basi tunaongozwa na vilaza aise.
Una uhakika na unachokisema??Mwalimu unapata ZERO kwenye usaili halafu unaita watu vilaza.
Unalilia ajira za kupewa kama watu wanavyopewa maembe shambani.
Utaelewa tu, huu mchezo hauhitaji hasira. Haijalishi wewe ni Mnufaika wa mfumo hovyo wa Ma CCMKwan mambo ya kufeli usaili yameanzia kwa waalimu? Umekuwa wapi kuongea hayo mpaka sasa kwa waalimu?
Kazi unayo mkuu ila utazoea tuu mkuu ni jambo la kuzoea tuuUtaelewa tu, huu mchezo hauhitaji hasira. Haijalishi wewe ni Mnufaika wa mfumo hovyo wa Ma CCM
Huyu mwalimu ni mwehu. Sasa wehu kama hawa waje watufundishie watoto zetu?.. kwanza linaonekana zero kichwani.Sasa Mwalimu hujui kitu shuleni utaenda kufundisha nini?
Walimu acheni kudeka, Usaili sio adhabu.
Ndio alipata 18 kwenye writtern na ndio ambao walikua hawataki usaili lkn ambao wamefaulu huwez kusikia hizi keleleHuyu mwalimu ni mwehu. Sasa wehu kama hawa waje watufundishie watoto zetu?.. kwanza linaonekana zero kichwani.