KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ngoja niseme kitu.

Mimi nimemaliza chuo 2016. Kilikua kipindi ambacho Late President amesitisha kuajiri so nikasaka connections private nikatulia huko.

Nikaenda interview ya kwanza ya serikali 2022 post ilikua 1 tuliapply watu 300. Miaka 6 tangu nimalize, nimekutana na fresh graduates na wazee kama mimi, na wenye masters kwenye field.

Ila nikapita oral. 50 tukaenda oral. Mwenye uwezo kutuzidi akachukuliwa.

Two years later, miaka 8 tangu nimalize chuo, naenda interview ya pili ya serikali. Tuliapply watu 1900 posts zilikua 5.

Nikapita oral pia.

My point ni kwamba kama darasani ulienda ili uelewe hata ipite miaka mingapi kwenye field yako ukiulizwa kitu huwezi shindwa elewa mtu anataka kujua nini.

Walimu mlizoea kupangiwa vituo. Pambaneni acheni kudeka na kukariri.
 
Walimu walizoea ajira zao za vimemo.,Sasa kwa Psrs mambo ni different.
 
Ngoja niseme kitu.

Mimi nimemaliza chuo 2016. Kilikua kipindi ambacho Late President amesitisha kuajiri so nikasaka connections private nikatulia huko.

Nikaenda interview ya kwanza ya serikali 2022 post ilikua 1 tuliapply watu 300. Miaka 6 tangu nimalize, nimekutana na fresh graduates na wazee kama mimi, na wenye masters kwenye field.

Ila nikapita oral. 50 tukaenda oral. Mwenye uwezo kutuzidi akachukuliwa.

Two years later, miaka 8 tangu nimalize chuo, naenda interview ya pili ya serikali. Tuliapply watu 1900 posts zilikua 5.

Nikapita oral pia.

My point ni kwamba kama darasani ulienda ili uelewe hata ipite miaka mingapi kwenye field yako ukiulizwa kitu huwezi shindwa elewa mtu anataka kujua nini.

Walimu mlizoea kupangiwa vituo. Pambaneni acheni kudeka na kukariri.
Mkuu oral ipo sawa .. zile write exam NI za kukomoana ..
 
Mkuu oral ipo sawa .. zile write exam NI za kukomoana ..
Unasema written ni za kukomoana kisa ww umefeli hapo kwenye written 😂 sasa umejuaje oral ipo sawa wakati hujapita kwenda oral 😂
 
Unasema written ni za kukomoana kisa ww umefeli hapo kwenye written 😂 sasa umejuaje oral ipo sawa wakati hujapita kwenda oral 😂
Mimi nipo kwenye ajira Kitambo sana kabla .. kabla hata hatavya huo mfumo ..nawasemea vijana kinachofanywa si sahihi.. mtu anapimwa uwelewa wa post iliyotangazwa kulingana na JD .. na sio kama alikuwa mzuri kwenye kukariri darasani .. you are asking me Archimedes principle kwa kazi ya kuja kusimamia ujenzi au project fame fulani
 
Yaan sa hivi raha kwel, Mtu akikosa kazi tunajua alifeli interview ila zamani wanasingizia serikal haijatoa ajira
 
Mkuu oral ipo sawa .. zile write exam NI za kukomoana ..
Zipo ndani ya field ya anayeulizwa au ndiyo kwanza anaona siku hiyo hayo maneno?

Mleta uzi analalamika kwanini aulizwe kitu alisoma miaka 10 nyuma. Ingawa ni field yake
 
Jaman Kwa Hali hii Bora serikali irudishe ajira za ualimu KULE TAMISEMI ki ukweli huku kwenye interview tunakomoana hebu fikiria maswali haya kwenye GEOGRAPHY IIIC

Miaka kumi imepita leo naulizwa cognitive dissonance, halo effect, erickson's stages of psychological development, the goal of concealing theory, primary goal of existentialist education, the key principle of differentiated instruction......nakumbuka wapi miaka kumi imepita

Mama yetu Samia tuonee HURUMA turudishen TAMISEMI
Zirudi TAMISEMI ili serikali iendelee kuajiri watu wasio na sifa?
 
Ngoja niseme kitu.

Mimi nimemaliza chuo 2016. Kilikua kipindi ambacho Late President amesitisha kuajiri so nikasaka connections private nikatulia huko.

Nikaenda interview ya kwanza ya serikali 2022 post ilikua 1 tuliapply watu 300. Miaka 6 tangu nimalize, nimekutana na fresh graduates na wazee kama mimi, na wenye masters kwenye field.

Ila nikapita oral. 50 tukaenda oral. Mwenye uwezo kutuzidi akachukuliwa.

Two years later, miaka 8 tangu nimalize chuo, naenda interview ya pili ya serikali. Tuliapply watu 1900 posts zilikua 5.

Nikapita oral pia.

My point ni kwamba kama darasani ulienda ili uelewe hata ipite miaka mingapi kwenye field yako ukiulizwa kitu huwezi shindwa elewa mtu anataka kujua nini.

Walimu mlizoea kupangiwa vituo. Pambaneni acheni kudeka na kukariri.
Wewe ni Mnufaika wa mifumo mibovu ya CCM. Kaa tu Kwa kutulia
 
Umefeli ww unaanza kuwasingizia ccm 😂 kwan kwenye usaili walikuja wamevaa nguo za chama?
Nani amefail wewe? Nalaumu mfumo wa hovyo wa Ma CCM.
Nimeshafanya mitihani yao mitatu nyingine nilifika oral but sikuitwa na vitu wanavyouliza ni kukomoana , Baada ya hapo nikaachana na hiyo biashara ya utumishi. Nimefanya interview na mashirika mawili ya kimataifa tena panel ya watu tisa na interview za online na kupata moja ya shirika ambalo nafanya hadi now . Nasisitiza pale utumishi amna interview ni ujinga ujinga tu kuna watu nawafahamu mmoja yuko jimbo la kassimu alipata 49 below 50 leo yuko kazini . Hapo utaelewa namaanisha nn na sio kwamba maisha utayapata kupitia utumishi kuna fursa kila mahali za kumtosha kila mtu , kuna organization itaona potentially yako hivyo milango ya fursa bado ni mingi
Yaaani tuna mifumo ya hovyo kweli kweli kama taifa. Ina favour wenye nacho
 
Wewe ni Mnufaika wa mifumo mibovu ya CCM. Kaa tu Kwa kutulia
Tunataka kuokoa taifa.

Ilifika hatua Mwanafunzi anaenda form one hajui kusoma wala kuandika kumbe tatizo ni Walimu.

Mwalimu unapataje zero (0) miaka yote shuleni hadi chuoni ulikuwa unafanya nini sasa?

Huwezi kufundisha wanafunzi wetu.
 
Back
Top Bottom