KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ndio atulie aache kelele sasa
 
Huyu mwalimu ni mwehu. Sasa wehu kama hawa waje watufundishie watoto zetu?.. kwanza linaonekana zero kichwani.
Wanufaika wa mfumo mbovu utawajua tu Kwa comments zao. Ma CCM mna roho mbaya nyie.
 
Pole mkuu ....

Jiandae vizuri wakati mwingine..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…