Ajiua kwa kujitumbukiza kisimani baada ya kuua mke, mtoto kisa mgogoro wa michepuko

Huyo mtoto anaitwa Meshack Madirisha na ana miaka 11.. maana yake alimuoa huyo mwanamke akiwa na miaka 16 , wakati huo yeye akiwa na miaka 49...

Na usikute hana ela , na show za Putin haziwezi..
 
Huyo mtoto anaitwa Meshack Madirisha na ana miaka 11.. maana yake alimuoa huyo mwanamke akiwa na miaka 16 , wakati huo yeye akiwa na miaka 49...

Na usikute hana ela , na show za Putin haziwezi..
Masafwa mtoto ana miezi 11 sio miaka 11.
Ila msafwa93 kila nikikuona hua nalikumbuka lile jukwaa letu pendwa.
Inabidi tuanzishe kampeni ya kurudishwa lile jukwaa letu kwa kweli.
Maxence Melo #bring back jukwaa letu.
Mama amesharudisha uhuru wa vyombo vya habari jamani.
 
60 years unaoa 27 years lazima wamle wewe ushachoka yeye ndo kwanza ana nguvu ya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…