Akacha mechi kwasababu hataki kuunga mkono vitendo vya kishoga

Sswa amefanya la maana lakini vipi kibarua chake wskimsitishia?
 
Hapo career yake ipo matatani, hao mapunga watampiga vita mpaka wamuangushe
 
Mabeberu yanatatuana marinda na kutaka kulazimisha mambo..pumbavuuuu..

Safi sana Idris japo carrier yako unakuwa umeiweka kwenye risk..
 
Wanaume wawe. Wana ingiziaza zile nyama mnyumbuiko sehemu za haja kubwa , then wanawake wawe wana gusanisha magoti kwenye vibuyu vya asali dah ni ujinga wa 5g aseeeeeeee
 
Hawa jamaa si wazuri, heri angepinga kimyakimya hata kwa kusingizia matatizo ya kifamilia kuliko kubainika alikataa kuunga juhudi zao za Kisodoma na Gomora.

Usishangae msimu ujao akapitia wakati mgumu kuliko kawaida. Hawa ndio wafadhili wakuu wa vitu vingi ikiwemo michezo mbalimbali, muziki, biashara n.k.

Mungu amsaidie maana hawa watu ni hatari ktk nyanja zote.
 
Bora kafanya wazi ili dunia ijue kuna watu hawataki upumbavu, Mungu aliyempa pumzi na kipaji ndio huyohuyo ataemuonyesha njia kwenye ugumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…