Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
HahahaaJamaa si afungue duka la vipochi au nyie mnasemaje?
Embu acha kauli za kibaguzi basi we mzee wa kinyantuzu sio vizuri wa Tanzania wote ni wamojaNadhani amepata mafunzo mazuri kutoka kwenye dini ya hakhi..ameamua kurudi kitovuni kuja kui practice zaidi..hongera kwake mpeni ushirikiano ni ndugu yenu huyo kutoka bara.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ni boya sana kukaa na mali kama hizo ndani hapo ingetakiwa mzigo aende uza mkoani kwao si msamba angetakiwa akauze lushoto au bumbuli au hata mlalo sio hapo DarJamaa si afungue duka la vipochi au nyie mnasemaje?
Na vile siku hizi hamuweki hela kwenye sidiria pata picha amekusanya sh ngapi pochi zoteNingekuwa mimi ningeshafungua duka. Jamaa fala sana
Akikuta hakuna hela pochi ndo faida yake. Ila anaweza bahatisha simu kwenye pochiNa vile siku hizi hamuweki hela kwenye sidiria pata picha amekusanya sh ngapi pochi zote
Unless otherwise mnakuwa mnatembea nayo matupu umeweka wanja ,kioo ,pedi ,hapo hasara kwake