Akamatwa akiwa na milioni 29 Gest

Akamatwa akiwa na milioni 29 Gest

Sidhani kama mie wangenikamata kizembe, sasa nae kaenda kuiba milioni 29 ya nini.. yaani milioni 29 inakufanya uhame mji, kama mke na familia utelekeze, kama ua mzazi umuue kwa presha...

Pongezi kwake mpambanaji japo kafeli kidogo tu 🤣
Usiwaamini Polisi, subiri tu utausikia ukweli kutoka kwa walioibiwa.
 
Mkazi wa Jijini Dar es salaam amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe akiwa na Tsh. 29,374,000 katika nyumba ya kulala Wageni (Gesti) Mjini Makambako ambapo fedha hiyo inadaiwa ameipata kwa njia ya wizi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga, amesema wamemkamata Mwakatundu wakiwa wanafanya upekuzi wa kawaida katika nyumba za kulala Wageni ambapo baada ya mahojiano amekiri kuipata fedha hiyo kwa njia ya uporaji.

ā€œTulipofika katika nyumba ya kulala Wageni ambayo inaitwa Lisbon ndio tulifanikiwa kumkamata akiwa na fedha hiyo lakini baada ya kumuhoji kwa kina alieleza kwamba fedha hizo amezipora katika kampuni aliyokuwa anafanyia kazi ya Interchick Dar es Salaamā€

Amesema tayari Mtuhumiwa amekwishakabidhiwa kwa Jeshi la Polisi Mkoani Dar es salaam kwa ajili ya hatua nyingine za kimashtaka ili aweze kufikishwa Mahakamani.
Huyo simu ndio imemponza. Ukipiga tukio la mpunga mrefu first thing ni kukata mawasiliano kabisa. Halafu sidhani kama kuna mtu anaweza kimbia na 29M tu.

Huyo aliiba 100M au zaidi. Kuna hela inatamanisha kuikwara ila sio 29M aisee. Haijai hata kwenye sanduku la nguo.
 
Angekuwa mangi,hizo fedha zingechimbiwa chini,na angesafiri na bagi la nguo TU.
Huyo sio mangi
 
Mkazi wa Jijini Dar es salaam amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe akiwa na Tsh. 29,374,000 katika nyumba ya kulala Wageni (Gesti) Mjini Makambako ambapo fedha hiyo inadaiwa ameipata kwa njia ya wizi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga, amesema wamemkamata Mwakatundu wakiwa wanafanya upekuzi wa kawaida katika nyumba za kulala Wageni ambapo baada ya mahojiano amekiri kuipata fedha hiyo kwa njia ya uporaji.

ā€œTulipofika katika nyumba ya kulala Wageni ambayo inaitwa Lisbon ndio tulifanikiwa kumkamata akiwa na fedha hiyo lakini baada ya kumuhoji kwa kina alieleza kwamba fedha hizo amezipora katika kampuni aliyokuwa anafanyia kazi ya Interchick Dar es Salaamā€

Amesema tayari Mtuhumiwa amekwishakabidhiwa kwa Jeshi la Polisi Mkoani Dar es salaam kwa ajili ya hatua nyingine za kimashtaka ili aweze kufikishwa Mahakamani.
***** polisi! Kuwa na milioni 29+ni kosa?
Kesho utasikia "amejiua kwa, kwa, kujinyonga na kamba za viatu" Mpunga wote wanatia ndani
 
Mkazi wa Jijini Dar es salaam amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe akiwa na Tsh. 29,374,000 katika nyumba ya kulala Wageni (Gesti) Mjini Makambako ambapo fedha hiyo inadaiwa ameipata kwa njia ya wizi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga, amesema wamemkamata Mwakatundu wakiwa wanafanya upekuzi wa kawaida katika nyumba za kulala Wageni ambapo baada ya mahojiano amekiri kuipata fedha hiyo kwa njia ya uporaji.

ā€œTulipofika katika nyumba ya kulala Wageni ambayo inaitwa Lisbon ndio tulifanikiwa kumkamata akiwa na fedha hiyo lakini baada ya kumuhoji kwa kina alieleza kwamba fedha hizo amezipora katika kampuni aliyokuwa anafanyia kazi ya Interchick Dar es Salaamā€

Amesema tayari Mtuhumiwa amekwishakabidhiwa kwa Jeshi la Polisi Mkoani Dar es salaam kwa ajili ya hatua nyingine za kimashtaka ili aweze kufikishwa Mahakamani.
Yaani mfanye upekuzi wa kawaida halafu mbabatize tu mtu, sio kweli, wamelengeshwa. Halafu ni polisi gani hao wakamate pesa kisha waitangaze yote? Hapo wamekamata milioni hata 400, ila wanawasilisha 29..
 
Ukute alikuwa na 69m hawa polisi wa Tz hawa!

Yaani hakuna kesi, hakuna mlalamikaji, hakuna mashtaka ila ukaguzi tu wa kawaida polizei wa bongo wakukute na 29 alafu wakukamate tu eti ndio waanze kukuhoji! Na watangaze ukweli kabisa kuwa una 29 na kweli uwe na 29!

Haya bana
Kwa mambo yalivyo utakuta zilikua hata M 100+
 
Back
Top Bottom