Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Usiwaamini Polisi, subiri tu utausikia ukweli kutoka kwa walioibiwa.Sidhani kama mie wangenikamata kizembe, sasa nae kaenda kuiba milioni 29 ya nini.. yaani milioni 29 inakufanya uhame mji, kama mke na familia utelekeze, kama ua mzazi umuue kwa presha...
Pongezi kwake mpambanaji japo kafeli kidogo tu 🤣
Mkuu wanakwambia onesha mkeka wa won🤣 hapo sijui utasemaje kwamba mkeka umepotea amaAmeshindwa hata kusema amepata kwenye betting?
Kuna mijitu mishamba sana!Una 29 m kisha unalala Gueat
Hotel huzioni?
Si tutaambiwa nyingine kaishatumia 🤣Usiwaamini Polisi, subiri tu utausikia ukweli kutoka kwa walioibiwa.
Wezi wenzioNdio maana nawaaminia wachagga.
Huyo simu ndio imemponza. Ukipiga tukio la mpunga mrefu first thing ni kukata mawasiliano kabisa. Halafu sidhani kama kuna mtu anaweza kimbia na 29M tu.Mkazi wa Jijini Dar es salaam amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe akiwa na Tsh. 29,374,000 katika nyumba ya kulala Wageni (Gesti) Mjini Makambako ambapo fedha hiyo inadaiwa ameipata kwa njia ya wizi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga, amesema wamemkamata Mwakatundu wakiwa wanafanya upekuzi wa kawaida katika nyumba za kulala Wageni ambapo baada ya mahojiano amekiri kuipata fedha hiyo kwa njia ya uporaji.
“Tulipofika katika nyumba ya kulala Wageni ambayo inaitwa Lisbon ndio tulifanikiwa kumkamata akiwa na fedha hiyo lakini baada ya kumuhoji kwa kina alieleza kwamba fedha hizo amezipora katika kampuni aliyokuwa anafanyia kazi ya Interchick Dar es Salaam”
Amesema tayari Mtuhumiwa amekwishakabidhiwa kwa Jeshi la Polisi Mkoani Dar es salaam kwa ajili ya hatua nyingine za kimashtaka ili aweze kufikishwa Mahakamani.
Una hicho kitita na unabeba simu ya tachi! Ukikamatwa ni ujinga wako mwenyewe.Wamemchoma huyo wenzake
Hakuna binadamu ambae sio mwiz sema tumetofautiana my friendWezi wenzio
***** polisi! Kuwa na milioni 29+ni kosa?Mkazi wa Jijini Dar es salaam amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe akiwa na Tsh. 29,374,000 katika nyumba ya kulala Wageni (Gesti) Mjini Makambako ambapo fedha hiyo inadaiwa ameipata kwa njia ya wizi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga, amesema wamemkamata Mwakatundu wakiwa wanafanya upekuzi wa kawaida katika nyumba za kulala Wageni ambapo baada ya mahojiano amekiri kuipata fedha hiyo kwa njia ya uporaji.
“Tulipofika katika nyumba ya kulala Wageni ambayo inaitwa Lisbon ndio tulifanikiwa kumkamata akiwa na fedha hiyo lakini baada ya kumuhoji kwa kina alieleza kwamba fedha hizo amezipora katika kampuni aliyokuwa anafanyia kazi ya Interchick Dar es Salaam”
Amesema tayari Mtuhumiwa amekwishakabidhiwa kwa Jeshi la Polisi Mkoani Dar es salaam kwa ajili ya hatua nyingine za kimashtaka ili aweze kufikishwa Mahakamani.
Kumbe makambako kuna pisi 😥Wangemuacha kidogo pisi za makambako zimchune
Yaani mfanye upekuzi wa kawaida halafu mbabatize tu mtu, sio kweli, wamelengeshwa. Halafu ni polisi gani hao wakamate pesa kisha waitangaze yote? Hapo wamekamata milioni hata 400, ila wanawasilisha 29..Mkazi wa Jijini Dar es salaam amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe akiwa na Tsh. 29,374,000 katika nyumba ya kulala Wageni (Gesti) Mjini Makambako ambapo fedha hiyo inadaiwa ameipata kwa njia ya wizi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga, amesema wamemkamata Mwakatundu wakiwa wanafanya upekuzi wa kawaida katika nyumba za kulala Wageni ambapo baada ya mahojiano amekiri kuipata fedha hiyo kwa njia ya uporaji.
“Tulipofika katika nyumba ya kulala Wageni ambayo inaitwa Lisbon ndio tulifanikiwa kumkamata akiwa na fedha hiyo lakini baada ya kumuhoji kwa kina alieleza kwamba fedha hizo amezipora katika kampuni aliyokuwa anafanyia kazi ya Interchick Dar es Salaam”
Amesema tayari Mtuhumiwa amekwishakabidhiwa kwa Jeshi la Polisi Mkoani Dar es salaam kwa ajili ya hatua nyingine za kimashtaka ili aweze kufikishwa Mahakamani.
Kwa mambo yalivyo utakuta zilikua hata M 100+Ukute alikuwa na 69m hawa polisi wa Tz hawa!
Yaani hakuna kesi, hakuna mlalamikaji, hakuna mashtaka ila ukaguzi tu wa kawaida polizei wa bongo wakukute na 29 alafu wakukamate tu eti ndio waanze kukuhoji! Na watangaze ukweli kabisa kuwa una 29 na kweli uwe na 29!
Haya bana
Imenishangaza hiiUpekuzi wa kawaida kwenye nyumba za wageni? Hawa polisi ni hovyo sana. Wangesema walikuwa na taarifa hilo ningeelewa!
Tunatofautiana aseee wengne ata kumi atujawai shika afu tuibatishe iyo m29 unadhani itakuwajeYani 29 m madafu unaona nyiiingiii dah tumetofutiana.