Bishanga, The secretary ana kazi kwelikweli!
umeona eee? chezea bukoba ndani kijiji chenye gulioUnakoelekea wewe.... . mh.
daaaaa huo wimbo naupenda kweli. nami ngoja niutuma kwa my akanana Passion Lady
Salam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Hidaya...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
kwi kwi kwi copy: Nyani Ngabu
kwi kwi kwi copy: Nyani Ngabu
Hivi Mushaija una hakika na UNACHO-KINENA? "Zee La Hukumu" limange bizaa mbovu!
Inayumkin ?
Mazee niache nijilie mavitu ya Tanga!
YNNAH pliiz come umuongeze kumsokomezea mistari huyu jamaa!
Mume wangu hata ningesemaje kwa mdomo wangu huu hatosikia huyo Bishanga kwani amezoea kusutwa na matarumbeta. Hapo anawashwa.