Akasema ......Nimepoteza mpenzi wangu

Akasema ......Nimepoteza mpenzi wangu

mkuu Judgement karibu sana nili kumiss hapa. hivi hidya umempata?
alaf na wewe Arabela kwa nini umefanya hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Hivi Mushaija una hakika na UNACHO-KINENA? "Zee La Hukumu" limange bizaa mbovu!
Inayumkin ?
Mazee niache nijilie mavitu ya Tanga!
YNNAH pliiz come umuongeze kumsokomezea mistari huyu jamaa!

Mume wangu hata ningesemaje kwa mdomo wangu huu hatosikia huyo Bishanga kwani amezoea kusutwa na matarumbeta. Hapo anawashwa.
 
Last edited by a moderator:
Mume wangu hata ningesemaje kwa mdomo wangu huu hatosikia huyo Bishanga kwani amezoea kusutwa na matarumbeta. Hapo anawashwa.

Mrembo najua unamtaka nani. Kwa sasa nafasi hakuna. Tuko full house. Hauna ujanja wa kumsuta. Nipo kwa ajili yake hapa nahakikisha nitamlinda ipasavyo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom