moto2012
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 2,271
- 1,493
Asante mwaya.
Hahahahahaah! Mrembo upo? Huo wimbo unanikumbusha enzi hizo, miaka ya 92, kulikuwa na Askari Magereza alikuwa anausakata vilvyo, vilabuni ndo ilkuwa khabari kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mwaya.
Arushaone naomba namba ya Lady doctor, shem wako Chocs, amu na Zion Daughter ........kuna kineno nataka niwanong'oneze.
Unaongea kama huna meno.
nyumba ndogo wanataka za salon na za ice cream au visuruali vya mitumba na vitishirt vyake tu
huyu hata simuwezi kadi zote za benki kazichikilia yeye sijui ndo anapeleka kwa smile maana nimesikia ameonekana mara kibao nyumbani kwa smile