Akasema ......Nimepoteza mpenzi wangu

Akasema ......Nimepoteza mpenzi wangu

Hahahahahaah! Mrembo upo? Huo wimbo unanikumbusha enzi hizo, miaka ya 92, kulikuwa na Askari Magereza alikuwa anausakata vilvyo, vilabuni ndo ilkuwa khabari kamili

Haaa wimbo mzuri sana.
 
sosoliso jamani unataka mpaka uambiwe kovo alilonalo mkeo ndo usadiki,
acha kuwa tomaso shauri zako, mi sipo.

Yaani Bishanga mai waifu wangu Paloma ameniapia kabisa kwamba hata kufuli yake hujawahi kuiona ikiwa ndani ya mwili wake.. Mai waifu wangu hajui kuongopa..
 
Last edited by a moderator:
nyumba ndogo wanataka za salon na za ice cream au visuruali vya mitumba na vitishirt vyake tu

sasa kama ni hivyo unahakikisha vichenji vyote vilivyobaki kwenye suruali unavitoa mana ndo wanavyopewa nyumba ndogo
 
ha ha haaaaa
hiyo inaitwa 'kupima oil'
sinaga hizo Mamndenyi ni mshamba fulani tu,
angalia tu usimpime mtoto wangu kiwatengu oil, ha ha haaa
sasa kama ni hivyo unahakikisha vichenji vyote vilivyobaki kwenye suruali unavitoa mana ndo wanavyopewa nyumba ndogo
 
Last edited by a moderator:
shansarie hilo la Smile na mimi leo nimelikuta mahali
nahisi mumeo kiwatengu anaanza kuiga tabia za akina Bishanga,
ni vema atamke ili ujue foleni inavyoanza.
huyu hata simuwezi kadi zote za benki kazichikilia yeye sijui ndo anapeleka kwa smile maana nimesikia ameonekana mara kibao nyumbani kwa smile
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom