Akatwa nyeti zake na mkewe baada ya kushindwa kutimiza ahadi ya kumlipa 5000 baada ya mshindo kwenye tendo la ndoa

Akatwa nyeti zake na mkewe baada ya kushindwa kutimiza ahadi ya kumlipa 5000 baada ya mshindo kwenye tendo la ndoa

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ndy maana siku hizi Nime anzisha formla yangu mpya pale wakat wa blowjob na kunyonywa dushe na manzi lazima kisu niwe nimek pack kitandani kwa siri maana chochote kinaweza kutokea

Ni bora kwenda kula ugali wa bure jera kuliko kukatwa dushe utakua mgeni wa nan bila nyetii dunia hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kwangu uone shughur yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kupiga sio tatizo ,je Ni za muda gan Kila mshindo mmoja???? Mana zinaweza kuwa za dk 20 Kila moja Sasa hapo s uchafuz huo wa k

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa...Kwa historia ya huo Mkoa wanaume wa huko hawanaga kuremba linapokuja suala zima la Show za Kibabe...Hatareee saana.
 
Wewe tu ndio umeelewa mkuu kuwa hii stori imetengenezwa hovyo
Kwanza tulianza kwa vinywaji kisha tukakubaliana kuwa kila mshindo sh 5,000 lakini akaomba kwanza Shillingi 20,000 nikalipa, tumelala kila baada ya mshindo nilikuwa nalipa Shilingi 5,000, mitatu nililipa ,ya nne sikulipa akadai nikamwambia akate kwenye Sh20,000 ya kwanza akagoma

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio maana napigaga ka1 tu

imagine makali ya wembe,na njemba kapiga v4 na yuko alcohol 567

nadhani huo uroda wa V4 utakuwa utamu wake wa mwisho,plus utamu wa kiwembe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kuna kisa cha jamaa anaeitwa Bobito huko USA alikatwa yote na mke wake na kuitupa dirishani kutoka gorofani
Msaria mwema akaiona na kujiongeza kuibeba na kuipeleka duka la 24/7 na kuihifadhi kwenye fridge na kupiga Simu police na Ambulance
Ambulance ilipokuja walimbeba jamaa na mzigo wake
Ilichukua doctors 6 kwa masaa 9 kuunganisha kila mshipa

Baada ya kupona alialikwa na Opra kwenye show na kusimulia na kuomba kama kuna mwanamke anamtaka aongozane nae


Sent from my iPhone using Tapatalk
Ha ha ha ha ha ha, daah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa cha habari na habarintofauti Mara mke Mara muhudumu Mara alishamlipa elfu 20
 
Wanaume nchini Tanzania wanapaswa kuongeza umakini zaidi wakati wa tendo la ndoa kutokana na kushamili kwa matukio ya kukatwa nyeti zao na wapenzi wao.

Siku kadhaa zilizopita askari polisi mkoani shinyanga (28) alikatwa nyeti na mke wake na leo Mkazi mmoja wa Wilayani Serengeti amekatwa sehemu zake za siri baada ya kushindwa kumlipa Shilingi 5,000 walizoahidiana kulipana kila mshindo.

Tukio hilo limetokea leo Januari 10, 2020 alfajiri katika nyumba ya kulala wageni ya Gibita iliyoko mjini Mugumu mjini wilayani hapa.

Akiongea wakati akiwa hospitali mhanga wa tukio hilo alikatwa na mhudumu wa nyumba hiyo baada ya kumlipa Shilingi15,000 badala ya Shilingi 20,000 walizokubaliana kulipana kwa kila mshindo mmoja Shilingi 5,000 na yeye alipiga nne na kutoa fedha pungufu.

“Kwanza tulianza kwa vinywaji kisha tukakubaliana kuwa kila mshindo sh 5,000 lakini akaomba kwanza Shillingi 20,000 nikalipa, tumelala kila baada ya mshindo nilikuwa nalipa Shilingi 5,000, mitatu nililipa ,ya nne sikulipa akadai nikamwambia akate kwenye Sh20,000 ya kwanza akagoma”.

“Tukalala alfajiri wakati naaga niwani kijijini kwenye kazi za uchimbaji dhahabu, kumbe alikuwa na wembe ghafla akashika sehemu yangu ya siri na kukata kuanzia chini kwenye makende ili akate kabisa nikapambana lakini akawa ameishaniumiza vibaya,” amesema.

Amesema akapiga kelele watu wakajitokeza kumsaidia na kutoa taarifa polisi waliofika na kuwachukua wote na mhudumu huyo aliyemtaja kwa jina la Nyangi Ismael maarufu Mnyamongo ambaye polisi wamekiri kumshikiria.

Siku kadhaa zilizopita askari polisi mkoani shinyanga (28) alikatwa nyeti na mke wake na leo Mkazi mmoja wa Wilayani Serengeti amekatwa sehemu zake za siri baada ya kushindwa kumlipa Shilingi 5,000 walizoahidiana kulipana kila mshindo.

Tukio hilo limetokea leo Januari 10, 2020 alfajiri katika nyumba ya kulala wageni ya Gibita iliyoko mjini Mugumu mjini wilayani hapa.

Akiongea wakati akiwa hospitali mhanga wa tukio hilo alikatwa na mhudumu wa nyumba hiyo baada ya kumlipa Shilingi15,000 badala ya Shilingi 20,000 walizokubaliana kulipana kwa kila mshindo mmoja Shilingi 5,000 na yeye alipiga nne na kutoa fedha pungufu.

“Kwanza tulianza kwa vinywaji kisha tukakubaliana kuwa kila mshindo sh 5,000 lakini akaomba kwanza Shillingi 20,000 nikalipa, tumelala kila baada ya mshindo nilikuwa nalipa Shilingi 5,000, mitatu nililipa ,ya nne sikulipa akadai nikamwambia akate kwenye Sh20,000 ya kwanza akagoma”.

“Tukalala alfajiri wakati naaga niwani kijijini kwenye kazi za uchimbaji dhahabu, kumbe alikuwa na wembe ghafla akashika sehemu yangu ya siri na kukata kuanzia chini kwenye makende ili akate kabisa nikapambana lakini akawa ameishaniumiza vibaya,” amesema.

Amesema akapiga kelele watu wakajitokeza kumsaidia na kutoa taarifa polisi waliofika na kuwachukua wote na mhudumu huyo aliyemtaja kwa jina la Nyangi Ismael maarufu Mnyamongo ambaye polisi wamekiri kumshikiria.
Siyo mkewe
Yule ni changudoa
 
Dada katuwakilisha vyema [emoji123][emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hauwezi kuwakilishwa na mhuni wa hivyo!

Sijawahi kusikia hata kwenye madanguro, eti kila mshindo, mtu ateremke kitandani kusachi pochi, kisha kulipa elfu5 taslim.

Akishapanda tena kitandani na kufanikisha bao, wangu wangu anateremka kutafuta hela alikozificha, huku mshirika wake kashikilia kikatio chenye ncha kali huku kanuna akitokwa na udenda wa hamu ya kuua!

Ninasikia alitii kama mara mbili, ya tatu akagoma, akapigwa 'chanjo', wao wanasema 'kugechwa'

Hapo utulivu ambao ndiyo starehe, ataupataje?

Yaani 'marry go round' isiyo na mwisho!
Hapana huyo siyo muwakilishi mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume nchini Tanzania wanapaswa kuongeza umakini zaidi wakati wa tendo la ndoa kutokana na kushamili kwa matukio ya kukatwa nyeti zao na wapenzi wao.

Siku kadhaa zilizopita askari polisi mkoani shinyanga (28) alikatwa nyeti na mke wake na leo Mkazi mmoja wa Wilayani Serengeti amekatwa sehemu zake za siri baada ya kushindwa kumlipa Shilingi 5,000 walizoahidiana kulipana kila mshindo.

Tukio hilo limetokea leo Januari 10, 2020 alfajiri katika nyumba ya kulala wageni ya Gibita iliyoko mjini Mugumu mjini wilayani hapa.

Akiongea wakati akiwa hospitali mhanga wa tukio hilo alikatwa na mhudumu wa nyumba hiyo baada ya kumlipa Shilingi15,000 badala ya Shilingi 20,000 walizokubaliana kulipana kwa kila mshindo mmoja Shilingi 5,000 na yeye alipiga nne na kutoa fedha pungufu.

“Kwanza tulianza kwa vinywaji kisha tukakubaliana kuwa kila mshindo sh 5,000 lakini akaomba kwanza Shillingi 20,000 nikalipa, tumelala kila baada ya mshindo nilikuwa nalipa Shilingi 5,000, mitatu nililipa ,ya nne sikulipa akadai nikamwambia akate kwenye Sh20,000 ya kwanza akagoma”.

“Tukalala alfajiri wakati naaga niwani kijijini kwenye kazi za uchimbaji dhahabu, kumbe alikuwa na wembe ghafla akashika sehemu yangu ya siri na kukata kuanzia chini kwenye makende ili akate kabisa nikapambana lakini akawa ameishaniumiza vibaya,” amesema.

Amesema akapiga kelele watu wakajitokeza kumsaidia na kutoa taarifa polisi waliofika na kuwachukua wote na mhudumu huyo aliyemtaja kwa jina la Nyangi Ismael maarufu Mnyamongo ambaye polisi wamekiri kumshikiria.

Siku kadhaa zilizopita askari polisi mkoani shinyanga (28) alikatwa nyeti na mke wake na leo Mkazi mmoja wa Wilayani Serengeti amekatwa sehemu zake za siri baada ya kushindwa kumlipa Shilingi 5,000 walizoahidiana kulipana kila mshindo.

Tukio hilo limetokea leo Januari 10, 2020 alfajiri katika nyumba ya kulala wageni ya Gibita iliyoko mjini Mugumu mjini wilayani hapa.

Akiongea wakati akiwa hospitali mhanga wa tukio hilo alikatwa na mhudumu wa nyumba hiyo baada ya kumlipa Shilingi15,000 badala ya Shilingi 20,000 walizokubaliana kulipana kwa kila mshindo mmoja Shilingi 5,000 na yeye alipiga nne na kutoa fedha pungufu.

“Kwanza tulianza kwa vinywaji kisha tukakubaliana kuwa kila mshindo sh 5,000 lakini akaomba kwanza Shillingi 20,000 nikalipa, tumelala kila baada ya mshindo nilikuwa nalipa Shilingi 5,000, mitatu nililipa ,ya nne sikulipa akadai nikamwambia akate kwenye Sh20,000 ya kwanza akagoma”.

“Tukalala alfajiri wakati naaga niwani kijijini kwenye kazi za uchimbaji dhahabu, kumbe alikuwa na wembe ghafla akashika sehemu yangu ya siri na kukata kuanzia chini kwenye makende ili akate kabisa nikapambana lakini akawa ameishaniumiza vibaya,” amesema.

Amesema akapiga kelele watu wakajitokeza kumsaidia na kutoa taarifa polisi waliofika na kuwachukua wote na mhudumu huyo aliyemtaja kwa jina la Nyangi Ismael maarufu Mnyamongo ambaye polisi wamekiri kumshikiria.
Sijui mimi ndio sijaelewa ama ni mleta uzi. Heading AKATWA NA MKEWE content ALIKATWA NA MUHUDUMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom